Sunderland imesonga mbele hatua ya nusu fainali ya michuano ya ya Kombe la Capital One baada ya kuichapa Chelsea mabao 2-1.
Chelsea ilimiliki mchezo huo kwa muda mrefu
katika dakika zote 90, huku Chelsea ikipata goli kutokana na mchezaji wa
Sunderland, Lee Cattermole kujifunga mwenyewe.Kurasa
▼
Kurasa
▼
Chelsea yachapwa na Sunderland
Noeli iwe ni siku kuu ya imani na matumaini; mapendo na amani
Baba Mtakatifu anasema, Noeli ni Siku kuu ya furaha na matumaini kwa Mwenyezi Mungu ambaye ameamua kuja na kuishi kati ya watu wake kwa njia ya Mwanaye wa
Mzee Nelson Mandela alikuwa pia shujaa wa Tanzania
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania na Afrika Kusini zina uhusiano wa kindugu na wa karibu sana kwa sababu ya kazi kubwa iliyofanywa na waanzilishi wa mataifa hayo mawili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Mzee Mandela.