Ijumaa
Kuu Baba Mtakatifu Francisko majira ya saa tatu na nusu za usiku,
ataongoza Ibada ya njia ya Msalaba katika eneo la magofu ya Koloseo ya
mjini Roma. Tafakari katika za Ibada hii zimeandaliwa na Askofu Mkuu
Giancarlo Bregantini wa JImbo Kuu la Campobasso Boiano.