Ufoo Saro: Niliokoka kufa kutokana na miujiza ya Mungu
Mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro
akisoma somo kwenye biblia wakati wa ibada maalumu ya shukrani kwenye
Kanisa la (KKKT ) Usharika wa Kibamba nje kidogo ya Jiji la Dare Salaam
jana. Picha na Sanjito Msafiri.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni