Ni
mara ya kwanza wafanyibiashara wametajwa kuwa mafisadi wakubwa Barani.
Shirika hili limeongeza kwamba utumizi mbaya wa mamlaka unasababisha
ongezeko la umasikini, na kuwanyima raia mahitaji muhimu.
Watu
wengi ambao ni masikini wamejipata mara kadhaa wakilazimika kulipa hongo
ikilinganishwa na matajiri, inasema "Transparency International".
Nchi ya Liberia imetajwa kama inayoongoza kwa visa vya ufisadi Afrika. Inafuatwa na Cameroon, Nigeria na Sierra leone.Afrika
mashariki Uganda inaongoza kwa visa vya ufisadi, ikifuatwa na Kenya.
Kusini mwa Afrika Zimbabwe na Zambia zinaongoza katika nchi zenye visa
vingi vya ufisadi.
Botswana, Mauritius na Cape Verde, ndiyo
mataifa pekee ya Afrika ambapo visa vya ufisadi ni vya chini zaidi ikiwa
ni asili mia mbili pekee.
Wafanyibiashara
wakubwa wametakwa kuwa miongoni mwa watu wafisadi zaidi sawa na maafisa
wa polisi Barani Afrika. Hii ni kwa mujibu ya kura ya maoni iliyofanywa
na shirika la kuchunguza ufisadi duniani "Transparency International".
Wafanyibiashara
wakubwa wametakwa kuwa miongoni mwa watu wafisadi zaidi sawa na maafisa
wa polisi Barani Afrika. Hii ni kwa mujibu ya kura ya maoni iliyofanywa
na shirika la kuchunguza ufisadi duniani "Transparency International".
Ni
mara ya kwanza wafanyibiashara wametajwa kuwa mafisadi wakubwa Barani.
Shirika hili limeongeza kwamba utumizi mbaya wa mamlaka unasababisha
ongezeko la umasikini, na kuwanyima raia mahitaji muhimu.
Watu
wengi ambao ni masikini wamejipata mara kadhaa wakilazimika kulipa hongo
ikilinganishwa na matajiri, inasema "Transparency International". Image caption
Raia wengi wa Kenya wamelalamikia visa vya ufisadi serikalini
Nchi ya Liberia imetajwa kama inayoongoza kwa visa vya ufisadi Afrika. Inafuatwa na Cameroon, Nigeria na Sierra leone.
Afrika
mashariki Uganda inaongoza kwa visa vya ufisadi, ikifuatwa na Kenya.
Kusini mwa Afrika Zimbabwe na Zambia zinaongoza katika nchi zenye visa
vingi vya ufisadi.
Botswana, Mauritius na Cape Verde, ndiyo
mataifa pekee ya Afrika ambapo visa vya ufisadi ni vya chini zaidi ikiwa
ni asili mia mbili pekee.