Habari kubwa leo inamusu Ronaldo ni kwamba mchezaji huyo anastahili tuzo ya mwanasoka Bora wa Dunia `Ballon d`Or`, Kutokana na hilo, mashabiki 40,000 wa Real Madrid wamejipanga kumpa sapoti Ronaldo leo kwenye mechi ya Ligi ya Mabigwa Ulaya wakati timu hiyo itakapo menyana na Galatasaray kwenye uwanja Santiago Bernabeu wakiandaa tukio la kufikisha ujumbe kwa Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa) kwamba mreno huyo ndie bora kwa sasa.
Mitaa ya karibia na uwanja wa Santiago Bernabeu mashabiki wako kwa wingi wametengeneza vinyago vyenye sura ya Ronaldo na kuvivaa na pia kuna mabango makubwa yenye yakisisitiza fowadi huyo ndie bora.
Week Hot newz
-
Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship bet...
-
1.1. NDUGU WADOGO KUPAMBANA HADI KUTENGANISHWA (1226-1517) 1.1.1. MWANZO WA MAPAMBANO (1226-1318) Mt. Fransisko...
-
Rubani msaidizi, Andreas Lubitz, aliangusha makusudi ndege hiyo kwenye milima ya Alps. Wachunguz...
-
Nelson Mandela’s former wife Winnie Madikizela Mandela (left) and widow Graca Machel attend his memorial service in Joha...
-
Mkurugenzi mkuu wa Batarokota Social artwoks Paskal Linda amewataka watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yao, amewataka wote ku...
-
NA OSCAR ASSENGA, TANGA-Tanzania.Gazeti Mtanzania. KATIBU wa Chama cha Watu Wenye Albino Mkoa wa Tanga (TAS), Mah...
-
Daily Reading for Thursday, September 1st, 2016 Reading 1, First Corinthians 3:18-23 18 There is n...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni