Habari kubwa leo inamusu Ronaldo ni kwamba mchezaji huyo anastahili tuzo ya mwanasoka Bora wa Dunia `Ballon d`Or`, Kutokana na hilo, mashabiki 40,000 wa Real Madrid wamejipanga kumpa sapoti Ronaldo leo kwenye mechi ya Ligi ya Mabigwa Ulaya wakati timu hiyo itakapo menyana na Galatasaray kwenye uwanja Santiago Bernabeu wakiandaa tukio la kufikisha ujumbe kwa Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa) kwamba mreno huyo ndie bora kwa sasa.
Mitaa ya karibia na uwanja wa Santiago Bernabeu mashabiki wako kwa wingi wametengeneza vinyago vyenye sura ya Ronaldo na kuvivaa na pia kuna mabango makubwa yenye yakisisitiza fowadi huyo ndie bora.
Week Hot newz
-
Padre Federico Lombardi, Msemaji mkuu wa Vatican, anabainisha kwamba, Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto wa kumi na sita kwa sasa anautumia...
-
Mpendwa mwanatafakari, kwanza ninakutakieni heri na baraka tele za kuzaliwa Mwana wa Mungu. Leo ni Krismas, ni Noeli, ni neema ya Mun...
-
The Prayer Thank You God! Dear Loving and Compassionate God, Giver of all gifts, we pray especially today for the mercy and love You give...
-
Katika kilele cha Maadhimisho ya Mwaka wa Imani, Jumamosi jioni tarehe 23 Novemba, 2013, Baba Mtakatifu Francisko kwa furaha kuu aliwapoke...
-
Freeman Mbowe MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema maandamano na mikutano itakayofa...
-
Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship bet...
-
Short Cuts Facts Feastday: September 4 Death: 1160 St. Rosalia, daughter of Sinibald, Lord of Roses and Qui...
-
Prayer in Time of Anger Lord Jesus, there is anger in my heart and I cannot root it out. I know that I should calm down and offer the hu...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni