Mpendwa msikilizaji wa Neno la Mungu kipindi tafakari masomo Dominika, tayari tuko katika Dominika ya 32 ya mwaka C wa Kanisa, ni Dominika ambayo kwayo tunafunga wiki ambamo tuliwakumbuka na kuwaombea marehemu wetu.
Na kwa hakika Neno la Mungu ambalo tunalitafakari Dominika hii lina jambo la pekee linalogusa marehemu na nyakati za mwisho. Ujumbe wa Neno la Mungu kwa ufupi ni kwamba Mungu ni Mungu wa wazima na si wa wafu.
Week Hot newz
-
Reading 1, Colossians 1:15-20 15 He is the image of the unseen God, the first-born of all creation, 16 ...
-
Reading 1, Numbers 11:25-29 25 Yahweh descended in the cloud. He spoke to him and took some of the...
-
Neno Kwaresima linatokana na neno la lugha ya kilatini Quadragesima ; maana yake, namba arobaini. Kwa hiyo, Kwaresima ni kipindi cha siku ...
-
Klabu za Ligi ya Premia zilitumia zaidi ya £155m siku ya mwisho ya kuhama kwa wachezaji kipindi cha majira ya joto na kufikisha jumla y...
-
O eternal God and Ruler of all creation, You have allowed me to reach this hour. Forgive the sins I have committed this day by word, dee...
-
NYASA, MALAWI MSANII wa muziki wa injili nchini Malawi, Grace Chinga, amefariki dunia juzi kutokana na kusumbuli...
-
Reading 1, James 4:1-10 1 Where do these wars and battles between yourselves first start? Is it not prec...
-
Na Nkwazi Mhango, canada Pamoja na kupiga tubangi na kanywaji bado mzee mzima najua mipaka yangu. Najua kuwa ninapota...
St. Joseph yakumbuka watoto yatima
na Paskal Linda-Dar es salaam
SHULE ya Msingi St. Joseph iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam, kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi wa shule hiyo, imetoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandalwa kilichopo Mbweni Vijibweni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Wagonjwa ni hazina ya maisha na utume wa Kanisa
BABA Mtakatifu Francisko, Jumamosi, tarehe 9 Novemba 2013 amewashukuru wanachama wa Umoja wa Kitaifa wa Wasafirishaji wa Wagonjwa Lourdes na kwenye madhabahu ya Kimataifa wakati huu,
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)

