Mzee
wa miaka 80 alirudi nyumbani kutoka msikitini, akabisha mlango wa
nyumba yake lakini hakufunguliwa, akasimama kwa mda mpaka akazirai na
kuanguka chini, Mke wake akaona mume wake amechelewa, akafunguwa mlango
kwenda kumtafuta, akampata amezirai mbele ya mlango, akamwagia maji
mpaka akapata fahamu, mke akamuomba msamaha mume wake kwa kuchelewa
kumfungulia mlango kwa kuwa hakusikia mlango ukibishwa na akaona yeye ndie sababu ya mumewe kuzirai..
Mume akamwambia mke wake sikuzirai kwa sababu hiyo bali niliposimama
mbele ya mlango wangu na nikaona umefungwa, nikawa nafikiria jee kama
ningekuwa nimesimama mbele ya Mlango wa Allah subhanahu wata'ala na
Allah subhanahu wata'ala hakunifungulia ningekuwaje?
Katika ile hali ya kufikiria hivyo nikajipata sina fahamu;);););)
Week Hot newz
-
Neno Kwaresima linatokana na neno la lugha ya kilatini Quadragesima ; maana yake, namba arobaini. Kwa hiyo, Kwaresima ni kipindi cha siku ...
-
T upo pamoja tena nawe katika jiji la upendo wa Mungu, yaani Neno lake ambalo daima latupatia uzima na pia latufanya tuwe huru katika mai...
-
Kwa kawaida mwanachama wa chama au kikundi chochote kile anakuwa na kitambulisho maalumu na anaona fahari kutangaza sera za chama au za...
-
Mpendwa mwana wa Mungu, tuko tena pamoja katika ile habari ya furaha ndiyo kushirikishana mapendo ya Mungu kwa njia ya meza y...
-
Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship bet...
-
Kumsadiki Roho Mtakatifu ni kukiri Nafsi ya tatu ya Fumbo la Utatu Mtakatifu, atokaye kwa Baba na Mwana na anayeabudiwa na kutu...
-
Mpendwa msikilizaji wa Radio Vatican kipindi cha tafakari, ninakuleteeni tafakari ya Neno la Mungu Dominika ya tatu ya Majilio. Mas...
-
MAANDALIZI ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu ni ya kipekee kutokana na kupambwa na mbwembwe nyingi ikiwamo misafara na maandamano m...
-
MKUU wa msafara wa timu ya taifa ya wanawake ya Afrika Kusini chini ya miaka 20, Peter Manchonyane, ameelezea wasiwasi wa kikosi chake ku...
-
Tunaendelea kama kawaida katika kipindi chetu, tafakari masomo Dominika, na leo tunatafakari masomo Dominika ya 33 ya mwaka C wa Kanisa...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni