- Kila mmoja wetu anafahamu kwamba Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Rolihlahla Mandela amefariki dunia jana December 6, 2013. Rais JM Kikwete pia akatangaza siku 3 za maombolezo kuanzia leo Dec 6 mpaka Dec 8 na bendera ya Tanzania itapepea nusu mlingoti siku zote hizo.
Lakini kesho jumamosi Dec 7, 2013 ile timu yetu ya Wadada iliyowabugiza Msumbiji bao KUMI BILA uwanja wa Taifa inatakiwa kucheza na wadada wenzao wa Afrika Kusini (Basetsana) kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia kwa wasichana wenye umri chini ya miaka 20 katika Uwanja wa Taifa.
Week Hot newz
-
Klabu za Ligi ya Premia zilitumia zaidi ya £155m siku ya mwisho ya kuhama kwa wachezaji kipindi cha majira ya joto na kufikisha jumla y...
-
Reading 1, James 2:14-24, 26 14 How does it help, my brothers, when som...
-
Rais Kenyata asema ni Papa atakayeiunganisha Kenya kuwa kitu kimoja Na Paskal Linda -Nairobi, Kenya NCHI za Kenya na Uganda zi...
-
Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship bet...
-
South Africa 2010 Winner: Spain Runners-Up: Netherlands Third: Germany Fourth: Uruguay adidas Golden Ball: Diego FORLAN (URU) adidas Go...
-
Hatupaswi kuhofia ukombozi wa Bwana , badala yake , ni kujiweka tayari kwa ajili ya ujio wake. Ni kuufungua mlango wa moyo na...
-
Mpendwa mwana wa Mungu, tuko tena pamoja katika ile habari ya furaha ndiyo kushirikishana mapendo ya Mungu kwa njia ya meza y...
-
"يمكننا أن نقاوم التجارب فقط إن أصغينا لكلمة يسوع" هذا ما أكده قداسة البابا فرنسيس صباح اليوم ا...
Kesho ni Basetsana na Tanzanite
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni