Maria Nyerere pichani ambaye ni mke wa aliyekuwa rais wa
kwanza nchini Tanzania Mwalimu Nyerere, amesema Nelson Mandela
ataendelea kukumbukwa kwa moyo wake wa kusamehe na kumtaja kwamba
alikuwa ni zawadi ya dunia katika kuleta upendo na maridhiano.
Uhusiano kati ya familia ya Mwalimu Nyerere na
ile ya Mzee Nelson Mandela umekuwa ni wa karibu kiasi kwamba familia
yake inajiandaa kwenda kuhudhuria katika mazishi yatakayofanyika tarehe
15 mwezi huu.Week Hot newz
-
Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship bet...
-
Reading 1, Micah 5:1-4 1 But you (Bethlehem) Ephrathah, the least of the clans of Judah, from you will co...
-
sehemu ya uwanja wa Sao Paulo ulioporomoka Fifa imesema haina mpango...
-
Athari za uvutaji sigara Idadi ya wavutaji wa sigara duniani imeong...
-
Batarokota Paskal Linda akiwa anasoma somo la kwanza katika kanisa katoriki la St Patrisi mjini Morogoro. ANAWAOMBA msamaha wote...
-
Siku ya kumbukumbu ya kukumbuka ajali ya MV Bukoba tareehe 21/05/2016 katika jijini la mawe Mwanza (Rocky City) kutakuwa na burudani kabam...
-
Kwa kawaida mwanachama wa chama au kikundi chochote kile anakuwa na kitambulisho maalumu na anaona fahari kutangaza sera za chama au za...
-
Mpendwa mwana wa Mungu, tuko tena pamoja katika ile habari ya furaha ndiyo kushirikishana mapendo ya Mungu kwa njia ya meza y...
-
Mwanamuziki Mbaraka Mwinshehe, aliimba: “Ugeni tabu ndugu zangu, unapofika nchi za mbali huwa mashaka. Hapo fikira za nyumbani ...
-
Karibuni ndugu msikilizaji wa Radio Vatican katika kipindi cha Liturujia ya Neno la Mungu, tukiwa tayari Dominika VI ya Kipind...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni