Maria Nyerere pichani ambaye ni mke wa aliyekuwa rais wa
kwanza nchini Tanzania Mwalimu Nyerere, amesema Nelson Mandela
ataendelea kukumbukwa kwa moyo wake wa kusamehe na kumtaja kwamba
alikuwa ni zawadi ya dunia katika kuleta upendo na maridhiano.
Uhusiano kati ya familia ya Mwalimu Nyerere na
ile ya Mzee Nelson Mandela umekuwa ni wa karibu kiasi kwamba familia
yake inajiandaa kwenda kuhudhuria katika mazishi yatakayofanyika tarehe
15 mwezi huu.Week Hot newz
-
Mpendwa mwana wa Mungu karibuni katika kipindi cha tafakari tunapoadhimisha Dominika ya Matawi, Dominika ambayo ni mwanzo wa Ju...
-
Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki (KCCB), Askofu Philip Anyolo, ametangaza rasmi juu ya ujio wa Papa...
-
Burundi imepiga marufuku bodaboda au pikipiki kuingia katikati mwa mji mkuu Bujumbura katika juhudi za kujaribu kupunguza mashambulio.Pik...
-
Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship bet...
-
Reading 1, Colossians 1:21-23 21 You were once estranged and of hostile intent through your evil beh...
-
Reading 1, Nehemiah 2:1-8 1 In the month of Nisan, in the twentieth year of King Artaxerxes, since...
-
HATIMAYE mwanamuziki Batarokota amefanikiwa kuingia kwenye tuzo za muziki za Kilimanjaro Music Award mwaka 2014, kwa mujibu wa waand...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni