Njooni tumwabudu Mtoto Yesu! Mwaka 2014
Baba
Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya
kijamii anawakumbusha kwamba, wanapotafakari sura ya Mtoto Yesu,
wanatafakari pia uso wa Mwenyezi Mungu. Mwaliko wa kwenda kumwabudu! na kukaribisha Mwaka 2014.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni