Msanii wa ngw`anza fleva toka jijini Mwanza Batarokota mkali wa kurap kwa lugha ya kishahili na kisukuma, msanii huyu ndani ya wiki hii ameibuka na audio ya songi mpya 'irombo lise`, nyimbo hii imerekodiwa ndani ya studio ya Sun light Record iliyo mji kasoro bahari mjini Morogoro maeneo ya Kihonda (Mazimbu Road) . Songi hiyo 'irombo lise' imerekodiwa na kutengenezwa midundo na watayarishaji Batarokota akishirikiana na King Malo. Akizungumnza kwa njia ya simu toka mjini Morogoro msanii Batarokota alisema `nashukuru Mungu mwaka umeanza na nimemaliza kurekodi nyimbo yangu ya kisukuma iitwayo `irombo lise` yaaani Dada yetu na sasa niko katika maandalizi ya video ` alesema msanii Batarokota .Pia baada ya kumaliza na audio Batarokota na sasa video ya song hili 'irombo lise' na kufanyiwa shootingi chini ya usimamizi wa kampuni ya Batarokota iitwayo Paskal Linda Blog kwa udhamini wa Zachalia Linda Entertinment.
Week Hot newz
-
Freeman Mbowe MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema maandamano na mikutano itakayofa...
-
NA OSCAR ASSENGA, TANGA-Tanzania.Gazeti Mtanzania. KATIBU wa Chama cha Watu Wenye Albino Mkoa wa Tanga (TAS), Mah...
-
Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship bet...
-
1.1. NDUGU WADOGO KUPAMBANA HADI KUTENGANISHWA (1226-1517) 1.1.1. MWANZO WA MAPAMBANO (1226-1318) Mt. Fransisko...
-
For South Africans, winning the 1995 Rugby World Cup final marked the emergence of the "Rainbow Nation" -- for New Zealanders...
-
Nelson Mandela’s former wife Winnie Madikizela Mandela (left) and widow Graca Machel attend his memorial service in Joha...
-
The first day of Lent Ash Wednesday marks the beginning of the Season of Lent. It is a season of penance, reflection, and fastin...
-
Mkurugenzi mkuu wa Batarokota Social artwoks Paskal Linda amewataka watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yao, amewataka wote ku...


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni