Hiki ndicho kiini cha ujumbe wa Siku ya 100 ya Wakimbizi na Wahamiaji inayoadhimishwa na Mama Kanisa kila mwaka ifikapo tarehe 19 Januari. Ujumbe wa Baba Mtakatifu Francisko kwa Mwaka 2014 unaongozwa na kauli mbiu “Wahamiaji na wakimbizi: kuelekea ulimwengu bora zaidi”.
Papa Francis
Maafisa katika Vatican makao
makuu ya kanisa katoliki, wanatarajariwa kuhojiwa na maafisa wa Umoja wa
Mataifa kuhusu dhuluma za kingono ambazo makasisi wa kanisa hilo
waliwatendea maelfu ya watoto.
Maafisa hao walikataa ombi la awali ambapo Umoja
wa Mataifa ulikuwa unataka taarifa za kina kuhusu dhuluma za kingono
wakisema kuwa visa hivyo vinapaswa kushughulikiwa na idara ya mahakama
katika mataifa ambako visa hivyo vilitokea