Week Hot newz
-
Prayer in Time of Anger Lord Jesus, there is anger in my heart and I cannot root it out. I know that I should calm down and offer the hu...
-
Dear Lord! Fill our parents with Thy choicest blessings; enrich their souls with Thy holy grace; grant that they may faithfully and cons...
-
na Paskal Linda-Dar es salaam SHULE ya Msingi St. Joseph iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam, kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi wa...
-
Baba Mtakatifu Francisko anawataka wadau mbali mbali wa s...
-
The Prayer Thank You God! Dear Loving and Compassionate God, Giver of all gifts, we pray especially today for the mercy and love You give...
-
A Prayer for Grandparents. Jesus our Savior As your grandson. I know that every period Of our lives Has its responsibiliti...
-
Guardian Angel Prayer #2 (This is an old Guardian Angel Prayer) O Holy Angel, attendant of my wretched soul and of mine afflicted li...
-
Canticle of Brother Sun and Sister Moon of St. Francis of Assisi Most High, all-powerful, all-good Lord, All praise is Yours, all glory,...
-
Family Blessing at a Gathering Father in Heaven, We praise You for giving us Your Son To be our Saviour and Lord. Bless us all as we g...
Zitto, Dk. Kitila waeleza siri zao
Zitto Kabwe (kulia) na mwenzake Dk. Kitila
Mkumbo, ambao walivuliwa uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema), wakizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), jijini
Dar es Salaam jana.
Dk. Mkumbo alitoboa siri hiyo na kusema mtu ambaye kwenye waraka walimtambulisha kama MM kuwa ni Zitto Kabwe na ndiye waliyekuwa wanamuandaa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa taifa.
Wakristu wanao teseka leo hii, ni ushuhuda
Jengeni
matumaini kwa Bwana, hata katika hali ngumu, Papa amehimiza wakati wa
Ibada ya Misa ya asubuhi Jumatatu hii katika Kanisa dogo la Mtakatifu
Marta mjini Vatican. Papa alisisitiza kwamba Wakristo wameitwa kufanya
maamuzi thabiti , kama yanavyo fundisha maisha ya mashahidi wa dini wa
kila wakati. Hata leo, alibainisha, kuna wake kwa waume wanao teseka kwa
sababu ya imani yao kwa Kristu. Na hivyo wao ni mfano kwetu wa kuiga,
kwa ajili ya kupata nguvu za kujikabidhi kwa Bwana bila kujibakiza.
Papa aliendelea kufundisha kwamba, kumchagua Kristu, hakuna ukomo. Alieleza hilo akingalisha katika somo la Kitabu cha Nabii Daniel, na Injili : ambamo vijana Wayahudi watumwa katika mahakama ya Nebukadreza na mjane aliyekwenda katika hekalu kumwabudu Bwana. Katika kesi zote, Papa anaona, hapakuwa na ukomo wa hali. Mjane katika hali ya umaskini na vijana katika hali ya utumwa, wote walijikabidhi kwa Bwana . Mjane aliweka vyote alivyokuwa navyo katika hazina ya Hekalu, ambapo kwa vijana walibaki aminifu kwa Bwana, hata katika hatari ya maisha.
Papa aliendelea kusema, katika hali za wote, mjane na vijana – hawakujali hatari za maisha zilizokuwa mbele yao. Walimchagua Bwana kwa moyo moja, bila wasiwasi na bila upungufu. Kwao Bwana alikuwa ni juu ya yote juu. Walitambua Bwana wao ni Mungu na kwake walijikabidhi wenyewe. Na hii hawakufanya kwa sababu za kujitafutia sifa bandia , lakini walifanya hivyo kwa kutambua kwamba, Bwana ndiye mkuu wa yote. Walijua kwamba Bwana ni mwaminifu. Na ndivyo tunavyotakiwa nasi pia kufanya.
Ni kumtegemea Bwana kwa uaminifu na imani kwamba daima yupo, kwa sababu Bwana hawezi kubadilika kubadilika na kujikana mwenyewe. Imani hii katika Bwana Papa Francisko aliongeza, huongoza katika maamuzi thabiti ya kumchagua Yeye kuwa ndiye Bwana wa Yote, Yeye ni mwaminifu, katika katika mambo yote madogo , makubwa na hata magumu.
Papa alieleza na kuitazama historia ya kanisa kwamba, historia yake inaonyesha wanaume, wanawake, wazee, vijana, waliofanya uchaguzi huu, kama tunavyo sikia katika vyombo vya mawasiliano au kusoma katika magazeti juu ya maisha ya mateso yanayokabili hata leo hii, Wakristo katika maeneo mbalimbali duniani.
Wakristu hao wanaoishi nasi katika wakati huu, ni mfano hai kwetu, wenye kutuhimiza pia sisi, kuiweka hazina yetu ndani ya kanisa, ili kwamba, ambamo Bwana yumo ndani mwake. Ushuhuda wa Wakristu hawa wateswa, unashuhudia neema ya ujasiri wa kusonga mbele katika maisha ya Kikristo , katika hali ya kawaida , maisha magumu na hata katika mazingira hatarishi . Ni kuwa na Maamuzi thabiti kwa Bwana.
Papa aliendelea kufundisha kwamba, kumchagua Kristu, hakuna ukomo. Alieleza hilo akingalisha katika somo la Kitabu cha Nabii Daniel, na Injili : ambamo vijana Wayahudi watumwa katika mahakama ya Nebukadreza na mjane aliyekwenda katika hekalu kumwabudu Bwana. Katika kesi zote, Papa anaona, hapakuwa na ukomo wa hali. Mjane katika hali ya umaskini na vijana katika hali ya utumwa, wote walijikabidhi kwa Bwana . Mjane aliweka vyote alivyokuwa navyo katika hazina ya Hekalu, ambapo kwa vijana walibaki aminifu kwa Bwana, hata katika hatari ya maisha.
Papa aliendelea kusema, katika hali za wote, mjane na vijana – hawakujali hatari za maisha zilizokuwa mbele yao. Walimchagua Bwana kwa moyo moja, bila wasiwasi na bila upungufu. Kwao Bwana alikuwa ni juu ya yote juu. Walitambua Bwana wao ni Mungu na kwake walijikabidhi wenyewe. Na hii hawakufanya kwa sababu za kujitafutia sifa bandia , lakini walifanya hivyo kwa kutambua kwamba, Bwana ndiye mkuu wa yote. Walijua kwamba Bwana ni mwaminifu. Na ndivyo tunavyotakiwa nasi pia kufanya.
Ni kumtegemea Bwana kwa uaminifu na imani kwamba daima yupo, kwa sababu Bwana hawezi kubadilika kubadilika na kujikana mwenyewe. Imani hii katika Bwana Papa Francisko aliongeza, huongoza katika maamuzi thabiti ya kumchagua Yeye kuwa ndiye Bwana wa Yote, Yeye ni mwaminifu, katika katika mambo yote madogo , makubwa na hata magumu.
Papa alieleza na kuitazama historia ya kanisa kwamba, historia yake inaonyesha wanaume, wanawake, wazee, vijana, waliofanya uchaguzi huu, kama tunavyo sikia katika vyombo vya mawasiliano au kusoma katika magazeti juu ya maisha ya mateso yanayokabili hata leo hii, Wakristo katika maeneo mbalimbali duniani.
Wakristu hao wanaoishi nasi katika wakati huu, ni mfano hai kwetu, wenye kutuhimiza pia sisi, kuiweka hazina yetu ndani ya kanisa, ili kwamba, ambamo Bwana yumo ndani mwake. Ushuhuda wa Wakristu hawa wateswa, unashuhudia neema ya ujasiri wa kusonga mbele katika maisha ya Kikristo , katika hali ya kawaida , maisha magumu na hata katika mazingira hatarishi . Ni kuwa na Maamuzi thabiti kwa Bwana.
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)
