Week Hot newz

KUMBUKUMBU:Mwaka mmoja bila Sharo Milionea ooh mamaa!

Ilikua ni November tarehe 26 mwaka 2012 majira ya saA 2 usiku ndipo ziliposambaa taarifa za kifo cha muigizaji na msanii wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Fleva’ Husein Ramadhan Mkieti
 ‘SHARO MILIONEA’. 
Leo tarehe 26 november 2013 ni kumbukumbu ya mwaka mmoja bila Sharo.
Photo: Ilikua ni mwezi november tarehe 26 mwaka 2012 majira ya sa 2 usiku ndipo ziliposambaa taarifa za kifo cha muigizaji na msanii wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Fleva’ Husein Ramadhan Mkieti ‘SHARO MILIONEA’. Leo tarehe 26 november 2013 ni kumbukumbu ya MWAKA MMOJA.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni