Habari kubwa leo inamusu Ronaldo ni kwamba mchezaji huyo anastahili tuzo ya mwanasoka Bora wa Dunia `Ballon d`Or`, Kutokana na hilo, mashabiki 40,000 wa Real Madrid wamejipanga kumpa sapoti Ronaldo leo kwenye mechi ya Ligi ya Mabigwa Ulaya wakati timu hiyo itakapo menyana na Galatasaray kwenye uwanja Santiago Bernabeu wakiandaa tukio la kufikisha ujumbe kwa Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa) kwamba mreno huyo ndie bora kwa sasa.
Mitaa ya karibia na uwanja wa Santiago Bernabeu mashabiki wako kwa wingi wametengeneza vinyago vyenye sura ya Ronaldo na kuvivaa na pia kuna mabango makubwa yenye yakisisitiza fowadi huyo ndie bora.
Week Hot newz
-
Tafakari masomo Dominika, ninafurahi tena kuwa nawe katika safari yetu ya Majilio tukijiandaa kwa ajili ya ujio wa Mwana wa Mungu. Ni wak...
-
Baba Mtakatifu Francisko Alhamis hii 14.11.2014 majira ya saa nne, kwa mara ya kwanza tangu kuwa Papa mwezi March mwaka huu, alifanya ziar...
-
Mpendwa msikilizaji wa Radio Vatican kipindi cha tafakari, ninakuleteeni tafakari ya Neno la Mungu Dominika ya tatu ya Majilio. Mas...
-
Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship bet...
-
Na Paskal Linda Ninakuletea ujumbe wa Neno la Mungu, Dominika ya 25 ya mwaka B wa Kanisa. Mama Kanisa anatufundisha wajibu wa Jumuiya ...
-
Reading 1, First Corinthians 15:35-37, 42-49 35 Someone may ask: How are dead people raised, and what sort of body do the...
-
Where do the palms for Palm Sunday come from? By Adelaide Mena (CNA/EWTN News) 3/16/2016 (15 hours ago) Catholic Online (...
-
Tafakari ya Neno la Mungu Jumapili ya 32 ya Mwaka B wa Kan...
-
Na Paskal Linda Mpendwa mwana wa Mungu, katika kipindi tafakari Neno la Bwana, jioni hii tunatafakari Dominika ya 26 ya mwaka B wa Kan...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni