Mashabiki wa wapenzi wa mziki kizazi kipya wa jijini Mombasa jumamosi hiii tarehe 7,Desemba,2013 wanamsubiria Diamond Platinium pichani kushoto , ambaya atakae fanya shoo ya kufa mtu katika ukumbi wa Big Tree Hotel. Siku hiyo shoo itakuwa siya kukosa kwa sababu msanii Diamond Platinium kutoka Tanzania atawapa masongi ya ukweli kama `my number one`,`nataka kulewa`,`mbagala` na nyinginezo nyingi hhii si ya kukosa wana Mombasa
Week Hot newz
-
Tafakari masomo Dominika, ninafurahi tena kuwa nawe katika safari yetu ya Majilio tukijiandaa kwa ajili ya ujio wa Mwana wa Mungu. Ni wak...
-
Mpendwa msikilizaji wa Radio Vatican kipindi cha tafakari, ninakuleteeni tafakari ya Neno la Mungu Dominika ya tatu ya Majilio. Mas...
-
Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship bet...
-
Where do the palms for Palm Sunday come from? By Adelaide Mena (CNA/EWTN News) 3/16/2016 (15 hours ago) Catholic Online (...
-
Tanzania's mainland national team The Kilimanjaro Stars have sealed their place in the quarterfinals of the Cecafa Senior Challenge Cu...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni