Baraza la Maaskofu Katoliki Kenya kwa kushirikiana na Serikali linaendelea kuwahamasisha wananchi wa Kenya na Afrika kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kumpokea na kusali pamoja na Baba Mtakatifu Francisko wakati wa hija yake nchini Kenya kuanzia tarehe 25 hadi tarehe 27 Novemba 2015.
Week Hot newz
-
Tunaendelea kama kawaida katika kipindi chetu, tafakari masomo Dominika, na leo tunatafakari masomo Dominika ya 33 ya mwaka C wa Kanisa...
-
MOROGORO,Tanzania NYOTA wa muziki wa Bongo fleva na Mziki wa Asili ya Kitanzania nchini Tanzania,Batarokota, amesema alianza kumpend...
-
Neno Kwaresima linatokana na neno la lugha ya kilatini Quadragesima ; maana yake, namba arobaini. Kwa hiyo, Kwaresima ni kipindi cha siku ...
-
Freeman Mbowe MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema maandamano na mikutano itakayofa...
-
Mpendwa msikilizaji wa Radio Vatican kipindi cha tafakari, ninakuleteeni tafakari ya Neno la Mungu Dominika ya tatu ya Majilio. Mas...
-
Utafiti mpya umeonesha watu wazima wengi duniani ni wanene kupita kiasi na kwamba hakuna matumaini ya kufikia lengo la kupunguza idadi...
-
Klabu za Ligi ya Premia zilitumia zaidi ya £155m siku ya mwisho ya kuhama kwa wachezaji kipindi cha majira ya joto na kufikisha jumla y...
-
Tafakari masomo Dominika, ninafurahi tena kuwa nawe katika safari yetu ya Majilio tukijiandaa kwa ajili ya ujio wa Mwana wa Mungu. Ni wak...
-
Papa Francisko akihutubia kabla ya sala ya Malaika wa Bwa...
Kenya na Afrika kwa ujumla wajiandaa kumpokea Papa Francisko
Baraza la Maaskofu Katoliki Kenya kwa kushirikiana na Serikali linaendelea kuwahamasisha wananchi wa Kenya na Afrika kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kumpokea na kusali pamoja na Baba Mtakatifu Francisko wakati wa hija yake nchini Kenya kuanzia tarehe 25 hadi tarehe 27 Novemba 2015.