Week Hot newz
-
Tunaendelea kama kawaida katika kipindi chetu, tafakari masomo Dominika, na leo tunatafakari masomo Dominika ya 33 ya mwaka C wa Kanisa...
-
Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki limezindua tovuti yake inayotoa habari muhimu kuhusu mchango wa Kanisa Katoliki katika sekta ya elimu ...
-
Mpendwa mwana wa Mungu, tuko tena pamoja katika ile habari ya furaha ndiyo kushirikishana mapendo ya Mungu kwa njia ya meza y...
-
Daily Reading for Tuesday, March 22nd, 2016 Reading 1, Isaiah 49:1-6 1 Coasts and islands, listen ...
-
Zaidi ya wadau elfu mbili na mia mbili wa Uinjilishaji nchini Argentina, kwa muda wa siku tatu, kuanzia tarehe 10 hadi tarehe 12 Oktob...
-
Utafiti mpya umeonesha watu wazima wengi duniani ni wanene kupita kiasi na kwamba hakuna matumaini ya kufikia lengo la kupunguza idadi...
Pope Francis Embraces a Modern Leper and the World is Drawn to its Knees
VATICAN CITY (Catholic Online) - On Wednesday, November 6, 2013, Pope Francis traveled through the crowd of the faithful gathered in St Peters square to hear his weekly catechesis. This is a tradition of the modern popes. Each, in their own manner and style, teach the Christian faithful on an aspect of living the Christian life.
The whole world paused in the face of an authentic witness of God's love and Mercy on Wednesday. The gates of hell were rattled. We all beheld the very heart of the Gospel of Jesus Christ spoken in a language much more powerful than words.
Salamu za pole kufatia kifo cha Kardinali Domenico Bartollucci
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani Amani
Shukrani,
Paskal linda | mtumishilinda@gmail.com
Kumbuka: Barua pepe hii ilitumwa kupitia kifaa cha Fomu ya Anwani kwenye http://paskal-linda.blogspot.c om
BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIIDIMIWE AMINA
Shukrani,
julie smith | ju2004lie2004@yahoo.com
Rest in Peace
Shukrani,
Life Giving Church | lifelivingchurch@gmail.com
Shukrani,
Paskal linda | mtumishilinda@gmail.com
Kumbuka: Barua pepe hii ilitumwa kupitia kifaa cha Fomu ya Anwani kwenye http://paskal-linda.blogspot.c
BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIIDIMIWE AMINA
Shukrani,
julie smith | ju2004lie2004@yahoo.com

Shukrani,
Life Giving Church | lifelivingchurch@gmail.com

Maaskofu wanaangalia vyombo vya mawasiliano ya jamii
Tanzia: Kardinali Domenico amefariki dunia
TUNASIKITIKA kutangaza kifo cha Kardinali Domenico Bartollucci kilichotokea leo Asubuhi Jumatatu hii 11. 11 2013. Kardinali amefikwa na mauti akiwa na umri wa miaka 96.
Kwa kifo chake, Idadi ya Makardinali imebaki 200, ambamo kati yao wenye haki ya kikatiba kupiga kura ni 109 na wasiokuwa na haki ya kupiga kura ni 91.
Marehemu kwa muda wa miaka mingi alikuwa ni Mkurugenzi wa Muziki Mtakatifu wa Kipapa katika kanisa ldo la Sistini ndani ya Vatican. Alifanywa kuwa Kardinali na Papa Benedikto XV1, wakati wa kikao cha Makardinali "Consistory" tarehe 20 Novemba 2010.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)