Week Hot newz

‘Magufuli ni injini ya mabadiliko Tanzania’

INGAWA baadhi ya wanasiasa wanatumia neno mabadiliko kama kaulimbiu katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Magufuli anaonekana kuwa ndio injini ya mabadiliko ya kweli.

Katika mikutano yote ya Kampeni za kusaka kura za urais, Magufuli anahubiri mabadiliko na kusisitiza nia yake ya kuwa na Tanzania mpya.
Magufuli anataka Tanzania ya viwanda; itakayotokomeza umasikini kwa kutengeneza ajira kutoka asilimia tisa hadi asilimia 40. Hataki kuongoza serikali ambayo inakamua wazalishaji wadogo, kwa kuwatoza ushuru na kodi anazozitaja kuwa ni za hovyo. Anataka kuongoza mabadiliko ambayo yatawezesha mama lishe, wamachinga , wakulima, waendesha pikipiki za abiria maarufu kama bodaboda, kufanya shughuli zao bila kubughudhiwa.

Ni mgombea ambaye amekuwa akijinadi kwa kutumia kaulimbiu ya ‘Magufuli kwa Mabadiliko’. Katika mikutano ya kampeni kwenye maeneo mbalimbali nchini, amekuwa akiweka bayana anavyochukia ufisadi na mafisadi. Amekuwa akitaja msimamo wake pia namna anavyochukia uzembe na watumishi wazembe , wakiwemo wala rushwa wanaonyonya watu wanyonge.

Magufuli anasema wazi kuwa hana hofu ya kunyimwa kura na kundi hilo la watu.
Isitoshe, anaamini mafisadi na wazembe wanamchukia kwa msimamo wake. Hata hivyo, anaamini, wapo watu wazuri ambao ndiyo wengi ; wanaopenda kupata serikali adilifu na yenye viongozi waadilifu waweze kutendewa haki na kunufaika na matunda ya nchi yao. “Baraza langu la mawaziri litakuwa dogo na lenye watu waadilifu…,” anasema Magufuli.
Ameahidi kuboresha kilimo na kwa kuhakikisha anaongeza thamani ya mazao mbalimbali hatimaye wakulima wanufaike kwa bei nzuri itakayowawezesha kumudu mahitaji yao. “Sizungumzi uongo wala kuwapamba kwa kutaka kura…kazi ya kwanza ya serikali yangu itakuwa kusimamia bei ya tumbaku… kuna makato mengi na wanunuzi wengi wanaringa,” ni kauli aliyoitoa wilayani Sikonge katika mkoa wa Tabora.
Akiwa mkoani Kagera, Magufuli alieleza azma yake ya kuboresha zao la kahawa na kueleza kuwa hakubaliani na hatua ya wananchi kuuza mazao nje ya nchi kwa kuwa kitendo hicho kinadidimiza uchumi wa ndani na kuimarisha wa nchi jirani. Anasema endapo ataingia madarakani atapunguza kodi zilizowekwa kwenye zao la kahawa ambazo zinatajwa idadi yake inafikia 26. Vile vile anaona ujenzi wa viwanda vya kusindika kahawa, ni suluhu nyingine ambayo itawezesha zao hilo kupanda bei.
Pamoja na masuala mengine, anaahidi serikali yake itatoa elimu bure kuanzia Darasa la Kwanza hadi Kidato cha Nne. Kwa ujumla, yako mambo mengi mapya ambayo Magufuli na CCM kwa ujumla, wanaamini yatapatikana katika uongozi wa serikali awamu ya tano. Pamoja na mikakati hiyo, Magufuli anakiri awamu zilizopita chini ya marais wanne, zimefanya kazi nzuri inayomwezesha kuendeleza juhudi za kuwaletea maendeleo makubwa Watanzania.
Miongoni mwa mafanikio ya awamu zilizopita , ni pamoja na kuweka msingi imara wa amani na usalama wa nchi.

Ujenzi wa barabara, usambazaji huduma ya umeme, ujenzi wa zahanati, ni maeneo mengine ambayo mgombea urais huyo wa CCM amekuwa akikiri kwamba umekwenda vizuri kiasi cha kumwekea msingi mzuri wa kuleta mabadiliko makubwa zaidi chini ya serikali yake.
Wakati Magufuli na chama chake wakiamini katika falsafa hiyo ya mabadiliko wapo wanasiasa wanaobeza mabadiliko hayo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, anasema mabadiliko ndani ya CCM yaliendelea na hatua ya kupeleka chama kwa wananchi. Kupitia Sekretarieti ya CCM, ikiongozwa na Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, aliyeteuliwa mwaka 2012 kuiongoza, alianza ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya chama.
Katika ziara hiyo iliyodumu miezi 28 kabla ya kuhitimishwa Julai mwaka huu , alibaini mambo yanayokera wananchi kwa ajili ya kuyafanyia kazi. Nape anaweka wazi kwamba, katika kuzungukia nchi nzima, walibaini miongoni mwa kero za wananchi ni rushwa, urasimu serikalini pamoja na dhuluma. Akiwa kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais, Mjini Iringa hivi karibuni, Nape anakiri kwamba, wapo watu wachache walitumia CCM vibaya kutokana na kuiba na kukimbilia kujificha kwenye chama.
“Chama chetu kikaanza kunyooshewa vidole…tukazunguka, tulipomaliza, tukaenda Dodoma tukasema tutafute mtu atakayeleta mabadiliko ya kweli kwenye utendaji wa serikali,” anasema Nape. Kwa mujibu wa Nape, katika orodha ya wagombea, hawakuona mwingine bali Magufuli. “Mabadiliko tunayoyataka ndani ya serikali, mabadiliko tunayoyataka ndani ya CCM, tutayapata kwa Magufuli. Magufuli ni chachu ya mabadiliko tunayoyataka,” Nape anasisitiza.
Baadhi ya wanasiasa wakongwe, wakiwamo Mawaziri wakuu wastaafu, John Malecela na Jaji Joseph Warioba, wanakiri Magufuli ndiye mtu sahihi wa kuleta mabadiliko nchini. Malecela ana imani kwamba CCM aliyoiacha Mwalimu Julius Nyerere bado iko imara na itaendelea kuimarika chini ya uongozi wa Magufuli. Kwa upande wake, Jaji Warioba anasema nchi ina kila sababu ya kumchagua Magufuli kwa kuwa ni mzalendo, anayehubiri amani muda mwingi.
“Wengine wanaona kama ni utani,” anasema Jaji Warioba mjini Dodoma hivi karibuni na kusisitiza kuwa anaamini Magufuli ataunganisha na kuimarisha umoja wa nchi. Jambo lingine linalomshawishi Jaji Warioba kuona Magufuli anafaa na ni chachu ya mabadiliko, ni kutokana na uadilifu na msimamo wake dhidi ya ufisadi. Jaji Warioba anasema, kipindi hiki panahitajika mtu mwadilifu kutokana na ufisadi kuwa tatizo kubwa nchini. “Magufuli ndiye mwenye uwezo huo,” Jaji Warioba anasisitiza.
Katika kudhihirisha nia na msimamo wake wa kuwezesha mabadiliko hayo, Magufuli katika mikutano yake, ameweka bayana kwamba hatakuwa na mchezo na wazembe, wala rushwa na mafisadi. Chini ya falsafa yake ya mabadiliko, Magufuli anachosisitiza ni kazi. Anaunga msimamo wa CCM kupitia kwa Katibu Mkuu wake, Kinana ambaye baada ya kutembelea nchi nzima, alitoa karipio kwa viongozi wa chama na serikali, akiwataka waachane na kasumba ya kukaa maofisini, badala yake waende kwa wananchi wajue matatizo yao na wayafanyie kazi.
“Mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya tokeni ofisini, achanane na tai, viyoyozi nendeni mkakae na watu wa vijijini hao ndiyo wanaowalipa mishahara,” ni kauli aliyoitoa Kinana mjini Mwanza wakati akihitimisha ziara yake nchi nzima. Katika hotuba yake ya kuhitimisha ziara, Kinana aliweka bayana kwamba lengo ni kuhakikisha CCM inarudi kwenye misingi yake, aliyoiacha Mwalimu Nyerere.
Akionesha namna ambavyo Magufuli ni tunda la mabadiliko ndani ya chama, Nape anasisitiza katika kuhakikisha CCM inarudi kwenye misingi hiyo, tangu awali waliweka msimamo wa kuepuka wagombea wanaonunua uongozi. Hata kabla ya kura ya maoni, Nape akiwa kwenye mkutano wa mwisho mjini Mwanza, aliweka wazi kwamba chama hakikuwa tayari kukubali kupitisha mtu anayenunua uongozi.
Kwa ujumla, hoja iliyopo ni kwamba, pamoja na chama kupitisha mtu anayetarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika nchi, pia chenyewe kimejizatiti kuridhia mageuzi hayo kwa namna tofauti. Njia mojawapo ambayo imeshawekwa bayana, ni CCM kubadilisha mfumo kwa kutoruhusu Waziri Mkuu kuwa mwenyekiti wa wabunge wake katika Bunge ili kuepusha utamaduni uliokuwa umejengeka wa kupitisha kila kinacholetwa na serikali bungeni.

Elizabeth Josiah na Moses Josiah - Ukitaka

JESUS Film Swahili, Kenya- Neema ya Bwana Yesu na iwe pamoja nanyi nyote...

Rushwa imeshindikana nchini?



Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah.
Ninapenda  sana Takukuru ifanikiwe katika kutokomeza rushwa nchini. Lakini nina uhakika kuwa, haitafanikiwa na nina sababu za kwa nini nasema hivyo.
 
Rushwa sio suala la kupeana fedha chini ya meza, kwa msingi usio wa halali, na kwa mtu asiyestahili; kupeana huduma kwa upendeleo au kwa kutaka kulipwa kitu fulani kwanza; au hutoa huduma kwa misingi ya udugu, familia, mapenzi, ukabila, dini. Lakini rushwa ni matokeo, sio chanzo cha matatizo. 
 
Kama rushwa ni mtoto wa chanzo fulani, basi madhara yanayotokana na rushwa ni mjukuu wa chanzo ambazo TAKUKURU wanatakiwa kukimaizi na kukishughulikia. Lakini kama mnaweza!
 
Niliwahi kuandika kuwa, Rushwa ni mtazamo- a frame! Mtazamo huu umejenga fikra za kiitikadi na kujikita katika fikra za wananchi kiasi kwamba, hatuoni namna ingine ya kuishi ila hiyo ya kutoa rushwa. 
 
Na TAKUKURU wanapokuja na mtazamo kinzani- challenger frame,  kuwa rushwa ni jinai, ni makosa, wanakuta sisi tuko tayari tumeshajikita katika utamaduni wa kutoa rushwa. 
 
Ni sehemu ya maisha, ni mazoea- practice. Na kwa kweli hatuoni kuwa binadamu anaweza kuishi bila kutoa au kupewa rushwa. Na mazoea haya yana msingi wa kihistoria katika uchumi na siasa.
 
Kuna wakati nchi hii, ilikuwa na uchumi mzuri sana. Wakati ule tulisema dola moja ilikuwa sawa na shilingi tano; dala! Noti ya shilingi ishirini ilikuwa ikiitwa pauni; pauni moja ilikuwa sawa na shilingi ishirini. 
 
Nchi hii ilikuwa bora katika uzalishaji wa bidhaa za walaji kutoka viwandani na mashambani. Nchi ilikuwa na viwanda na ajira kwa sisi tuliokuwa tunamaliza masomo haikuwa shida. Nchi ilikuwa na wanasiasa ambao kazi yao ilikuwa ni kufikiria namna gani viwanda, kilimo na huduma vitoe ajira kwa wananchi. 
 
Nakumbuka wakati ambao nikiwa likizo ya masomo niliweza kupata kazi ya muda viwandani. Nakumbuka tulipokuwa tunamaliza masomo yetu tulikuwa tukijaza fomu za kuomba kupelekwa kwenye ajira mbalimbali- CEL Form. Ikaja kufa. Viwanda vilikufa, kilimo kilikufa na sekta ya huduma ikafifia. Nchi ikaharibu uchumi wa viwanda vyake kwa kuruhusu soko lifanye kazi yake. Wanasiasa waliona kuwa kazi ya kufikiri juu ya uchumi sio yao tena bali ya IMF, WB na nchi wahisani. 
 
Sisi sio wa kufikiri tena bali kufikiriwa. Wanasiasa hawakukaa na hawakai kutafuta majibu ya matatizo yetu, bali kuandika bajeti ambayo wafadhili watajiridhisha kuwa tunafaa kukopeshwa au kupewa msaada; kufanya maandiko ya miradi kwa ajili ya ufadhili. 
 
Fedha ikawa inaingia serikalini. Wanasiasa badala ya kufikiria kuziongeza kwa kufanya uwekezaji wa kiserikali- public sector investment, wakaona sasa aliye mjanja na mwenye meno awahi hizo fedha. 
 
Wakakimbilia kununua hisa kwenye viwanda, mashirika, na kununua mapande ya ardhi na kuyalimbikiza. Fedha zilizoingia serikali hazikuwa tena kwa ajili ya kuzizungusha kama mtaji bali kugawana kwa wale wanaojua zilipo na namna ya kuzichota. 
 
Na ajira ikawa sasa kwa undugu, urafiki, mapenzi, ukabila. Ndio tunasikia hayo ya watoto wa vigogo BOT. 
 
Wanasiasa wakaona siasa ndio sekta pekee ya kuiwekea fedha za kutosha- lakini sekta za afya, elimu uzalishaji wa kilimo na viwanda na huduma, hakuna. Nchi ikaanza kushindwa kusafirisha bidhaa nje; tukaanza kuwa waagizaji; ajira na uzalishaji vikapungua, tukaambiwa tuwe wajasirimali kwa ajili ya soko ambalo limejaa bidhaa za nje tayari. 
 
Aidha viongozi wamekuwa sasa ndio wanaolindana sasa. Wote ni wale wale. Kama hakuna utashi wa kisiasa wa kupigana na rushwa kwa maana ya (i) kutooneana aibu, (2) kutafuta majibu ya kuuokoa uchumi unaodorara, (3) kusaidia taasisi za kupambana na rushwa- polisi, Usalama wa Taifa na TAKUKURU, kufanya kazi kwa meno halisi badala ya kutumia ya bandia, mnawezaje kuiondoa rushwa. 
 
Sitaki kuwa mtu mwenye kejeli- cynical, kuhusiana na hili. Huu ndio ukweli niuonao, na niuonavyo. Hatuwezi kupambana na rushwa, nasubiri siku rais aseme sasa imetosha na rushwa ni adui wa haki. 
 
Na atakayesema, uchumi na ukue, atakayesema sasa imetosha. Hayupo na hatapatikana kama wale wanaotoa rushwa ndio wanaoweza kupitishwa kuwa rais Oktoba 2015.

Macho yameona mengi album mpya hivi karibuni sokoni

Wanamuziki mahiri wa nyimbo za injili nchini Tanzania Elizabeth Josiah na Moses Josiah ambao wanatamba sana na video ya `Ukitaka `kwa muda mrefu kwa nyimbo hii ya  injili inayokonga nyoyo za wapenzi wa nyimbo za injili Afrika Mashariki, hivi karibuni wanatarajia kuachia album yao mpya kabisa inayokwenda kwa jina Macho yameona mengi ikiwa katika mfumo wa DVD uzinduzi utakaofanyika jijini Mwanza  mwezi Desemba 2015 albamu hii ina  nyimbo nane ambazo ni wewe ni Mungu, Tazama, Ruadha inmitelona, Bwana wa Mabwana, Mwambie Yesu, Galilaya, yeye ndio na Mambo yameona mengi ambayo ndio imechukua jina la album. 


Albamu hii ya Macho yameona mengi inerekodiwa katika studio za EX2 Studio iliyo maeneo ya Mecco jijini Mwanza nchini Tanzania. Na albamu hii ilikamilika mwaka 2014 na kuwa tiyari ila matatizo anayoyapata Mwanamziki Moses Josiah ni kupata wasambazaji ili iweze kuwafikia wapenzi mziki wa injili na anaomba watu wenye kuitaji huduma yake ya kuinjirisha wawasiliane nae kwa facebook.com/Moses Josiah kama mdau wa muziki wa injili habari ndio hiyo,,,waweza jiongeza na kuhudhuria uzinduzi huo bila kukosa na Mungu akubariki.

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Afrika ya kusini ambaye amekuwa akipambana na majaribu mbalimbali kila kukicha, mwanakaka Lundi Tyamara ameachia album mpya ya muziki wa injili iitwayo Lundi & Friends wiki hii bila wasimamizi wa kazi zake kujua suala hilo hivyo kuleta mkanganyiko.

Mwanakaka huyo ambaye ameshauza mamilioni ya kopi ya kazi zake miaka ya nyuma ameachia album mpya siku ya jumanne wiki hii bila kampuni ya Zuz'Muz Music ambayo imeingia naye mkataba kujua suala hilo ingawa kampuni ndiyo imeachia album hiyo sokoni. Akizungumza na Tonight chombo cha habari nchini humo bwana Tshepo Ndzimande amekitaka chombo hicho kutangaza uwepo wa album mpya ya Lundi ingawa hawakupenda namna album hiyo ilivyoandaliwa kwakuwa imefanywa nje ya mkataba wao.
Ndzimande amesema ingawa album hiyo imefanywa nje ya kampuni yao imerekodiwa vizuri sana hata wanamuziki ambao Lundi amewashirikisha wamefanya kazi nzuri na kuongeza kwamba walipata habari kwamba Lundi anarekodi album mpya kupitia The Jaziel brothers ambaye aliwapigia simu kuwataarifu kwamba ameshirikishwa kwenye wimbo na Lundi na kutaka kusikia mawazo yao. Ndzimande amesema ameshangazwa na kitendo hicho cha Lundi kwakuwa walisaini mkataba naye wakurekodi album nne chini ya kampuni hiyo ambapo mpaka sasa amerekodi album moja tu na kushangazwa kwenda kurekodi album mpya kinyemela bila wao kuwa na taarifa.
Aidha bwana Ndzimande amesema alidhani mwimbaji huyo amejifunza kosa lake kama hilo alilowahi kufanya awali kwakurekodi nje ya mkataba kitu ambacho kingemletea matatizo makubwa lakini inaonekana hajajifunza na sasa amerudia tena na kutoa onyo kwa watu walioshiriki katika kumrekodi na kufanikisha album hiyo kwakuwa wanajua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria kwakuwa wanajua mwanamuziki huyo yupo chini ya kampuni kisheria.
Kwa upande wake Lundi alipopigiwa simu na waandishi wa Tonight kuhusiana na taarifa hizo amesema hajarekodi au kutoa album mpya yeyote na alipoambiwa suala la Ndzimande kisheria mwanamuziki huyo alisema hataki kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo. Aidha kuonyesha amefanya kweli kitendo hicho kupitia ukurasa wake wa Facebook mwanakaka huyo amemwita bwana Tshepo Ndzimande kama mwizi wa kazi zake na kuwataka mashabiki wake kutomsikiliza kwani hajatoa album yeyote ila anatarajiwa kutoa album mpya iitwayo "The New Testament"hivi karibuni na kuomba maombi yao.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/02/kutoka-south-lundi-matatani-tena-na.html#sthash.lzu6h8VM.dpuf
Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Afrika ya kusini ambaye amekuwa akipambana na majaribu mbalimbali kila kukicha, mwanakaka Lundi Tyamara ameachia album mpya ya muziki wa injili iitwayo Lundi & Friends wiki hii bila wasimamizi wa kazi zake kujua suala hilo hivyo kuleta mkanganyiko.

Mwanakaka huyo ambaye ameshauza mamilioni ya kopi ya kazi zake miaka ya nyuma ameachia album mpya siku ya jumanne wiki hii bila kampuni ya Zuz'Muz Music ambayo imeingia naye mkataba kujua suala hilo ingawa kampuni ndiyo imeachia album hiyo sokoni. Akizungumza na Tonight chombo cha habari nchini humo bwana Tshepo Ndzimande amekitaka chombo hicho kutangaza uwepo wa album mpya ya Lundi ingawa hawakupenda namna album hiyo ilivyoandaliwa kwakuwa imefanywa nje ya mkataba wao.
Ndzimande amesema ingawa album hiyo imefanywa nje ya kampuni yao imerekodiwa vizuri sana hata wanamuziki ambao Lundi amewashirikisha wamefanya kazi nzuri na kuongeza kwamba walipata habari kwamba Lundi anarekodi album mpya kupitia The Jaziel brothers ambaye aliwapigia simu kuwataarifu kwamba ameshirikishwa kwenye wimbo na Lundi na kutaka kusikia mawazo yao. Ndzimande amesema ameshangazwa na kitendo hicho cha Lundi kwakuwa walisaini mkataba naye wakurekodi album nne chini ya kampuni hiyo ambapo mpaka sasa amerekodi album moja tu na kushangazwa kwenda kurekodi album mpya kinyemela bila wao kuwa na taarifa.
Aidha bwana Ndzimande amesema alidhani mwimbaji huyo amejifunza kosa lake kama hilo alilowahi kufanya awali kwakurekodi nje ya mkataba kitu ambacho kingemletea matatizo makubwa lakini inaonekana hajajifunza na sasa amerudia tena na kutoa onyo kwa watu walioshiriki katika kumrekodi na kufanikisha album hiyo kwakuwa wanajua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria kwakuwa wanajua mwanamuziki huyo yupo chini ya kampuni kisheria.
Kwa upande wake Lundi alipopigiwa simu na waandishi wa Tonight kuhusiana na taarifa hizo amesema hajarekodi au kutoa album mpya yeyote na alipoambiwa suala la Ndzimande kisheria mwanamuziki huyo alisema hataki kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo. Aidha kuonyesha amefanya kweli kitendo hicho kupitia ukurasa wake wa Facebook mwanakaka huyo amemwita bwana Tshepo Ndzimande kama mwizi wa kazi zake na kuwataka mashabiki wake kutomsikiliza kwani hajatoa album yeyote ila anatarajiwa kutoa album mpya iitwayo "The New Testament"hivi karibuni na kuomba maombi yao.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/02/kutoka-south-lundi-matatani-tena-na.html#sthash.lzu6h8VM.dpuf
Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Afrika ya kusini ambaye amekuwa akipambana na majaribu mbalimbali kila kukicha, mwanakaka Lundi Tyamara ameachia album mpya ya muziki wa injili iitwayo Lundi & Friends wiki hii bila wasimamizi wa kazi zake kujua suala hilo hivyo kuleta mkanganyiko.

Mwanakaka huyo ambaye ameshauza mamilioni ya kopi ya kazi zake miaka ya nyuma ameachia album mpya siku ya jumanne wiki hii bila kampuni ya Zuz'Muz Music ambayo imeingia naye mkataba kujua suala hilo ingawa kampuni ndiyo imeachia album hiyo sokoni. Akizungumza na Tonight chombo cha habari nchini humo bwana Tshepo Ndzimande amekitaka chombo hicho kutangaza uwepo wa album mpya ya Lundi ingawa hawakupenda namna album hiyo ilivyoandaliwa kwakuwa imefanywa nje ya mkataba wao.
Ndzimande amesema ingawa album hiyo imefanywa nje ya kampuni yao imerekodiwa vizuri sana hata wanamuziki ambao Lundi amewashirikisha wamefanya kazi nzuri na kuongeza kwamba walipata habari kwamba Lundi anarekodi album mpya kupitia The Jaziel brothers ambaye aliwapigia simu kuwataarifu kwamba ameshirikishwa kwenye wimbo na Lundi na kutaka kusikia mawazo yao. Ndzimande amesema ameshangazwa na kitendo hicho cha Lundi kwakuwa walisaini mkataba naye wakurekodi album nne chini ya kampuni hiyo ambapo mpaka sasa amerekodi album moja tu na kushangazwa kwenda kurekodi album mpya kinyemela bila wao kuwa na taarifa.
Aidha bwana Ndzimande amesema alidhani mwimbaji huyo amejifunza kosa lake kama hilo alilowahi kufanya awali kwakurekodi nje ya mkataba kitu ambacho kingemletea matatizo makubwa lakini inaonekana hajajifunza na sasa amerudia tena na kutoa onyo kwa watu walioshiriki katika kumrekodi na kufanikisha album hiyo kwakuwa wanajua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria kwakuwa wanajua mwanamuziki huyo yupo chini ya kampuni kisheria.
Kwa upande wake Lundi alipopigiwa simu na waandishi wa Tonight kuhusiana na taarifa hizo amesema hajarekodi au kutoa album mpya yeyote na alipoambiwa suala la Ndzimande kisheria mwanamuziki huyo alisema hataki kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo. Aidha kuonyesha amefanya kweli kitendo hicho kupitia ukurasa wake wa Facebook mwanakaka huyo amemwita bwana Tshepo Ndzimande kama mwizi wa kazi zake na kuwataka mashabiki wake kutomsikiliza kwani hajatoa album yeyote ila anatarajiwa kutoa album mpya iitwayo "The New Testament"hivi karibuni na kuomba maombi yao.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/02/kutoka-south-lundi-matatani-tena-na.html#sthash.lzu6h8VM.dpuf

Daily Reading for Tuesday, October 6th, 2015

Reading 1, Jonah 3:1-10 1 The word of Yahweh was addressed to Jonah a second time.
2 'Up!' he said, 'Go to Nineveh, the great city, and preach to it as I shall tell you.'
3 Jonah set out and went to Nineveh in obedience to the word of Yahweh. Now Nineveh was a city great beyond compare; to cross it took three days.
4 Jonah began by going a day's journey into the city and then proclaimed, 'Only forty days more and Nineveh will be overthrown.'
5 And the people of Nineveh believed in God; they proclaimed a fast and put on sackcloth, from the greatest to the least.
6 When the news reached the king of Nineveh, he rose from his throne, took off his robe, put on sackcloth and sat down in ashes.
7 He then had it proclaimed throughout Nineveh, by decree of the king and his nobles, as follows: 'No person or animal, herd or flock, may eat anything; they may not graze, they may not drink any water.
8 All must put on sackcloth and call on God with all their might; and let everyone renounce his evil ways and violent behaviour.
9 Who knows? Perhaps God will change his mind and relent and renounce his burning wrath, so that we shall not perish.'
10 God saw their efforts to renounce their evil ways. And God relented about the disaster which he had threatened to bring on them, and did not bring it.

Responsorial Psalm, Psalms 130:1-2, 3-4, 7-8

1 [Song of Ascents] From the depths I call to you, Yahweh:
2 Lord, hear my cry. Listen attentively to the sound of my pleading!
3 If you kept a record of our sins, Lord, who could stand their ground?
4 But with you is forgiveness, that you may be revered.
7 let Israel hope in Yahweh. For with Yahweh is faithful love, with him generous ransom;
8 and he will ransom Israel from all its sins.

Gospel, Luke 10:38-42

38 In the course of their journey he came to a village, and a woman named Martha welcomed him into her house.
39 She had a sister called Mary, who sat down at the Lord's feet and listened to him speaking.
40 Now Martha, who was distracted with all the serving, came to him and said, 'Lord, do you not care that my sister is leaving me to do the serving all by myself? Please tell her to help me.'
41 But the Lord answered, 'Martha, Martha,' he said, 'you worry and fret about so many things,
42 and yet few are needed, indeed only one. It is Mary who has chosen the better part, and it is not to be taken from her.'

Prayer of the Day for Tuesday, October 6, 2015

Prayer for Expectant Mothers #2 O Good Saint Anne,
who had the incomparable privilege of bringing into the
world
Her who was to become the Mother of God,
I come to place myself
under your special care.

I confide myself to you,
together with the child I am carrying.
Thousands of children owe you,
Glorious Mother of Mary,
the life of the body and the grace of baptism.
Hence I wish, in my turn,
to place my whole confidence in you.
Make me keep in mind the precautions I need to take
so as not to endanger in any way the health,
good qualities or the eternal salvation
of the child whose very existence
God has placed in my care.

Obtain for me
the virtues you did teach Her who was to be the Mother of
God,
so that I may afterwards
instil and develop them
in the heart of my child.

O Good Saint Anne,
protect me today and forever.
I know that you will not refuse your intercession
to a mother who invokes you with confidence.

Amen

St. Bruno

Short Cuts
Image of St. Bruno

Facts

Feastday: October 6

Bruno was born in Cologne of the prominent Hartenfaust family. He studied at the Cathedral school at Rheims, and on his return to Cologne about 1055, was ordained and became a Canon at St. Cunibert's. He returned to Rheims in 1056 as professor of theology, became head of the school the following year, and remained there until 1074, when he was appointed chancellor of Rheims by its archbishop, Manasses. Bruno was forced to flee Rheims when he and several other priests denounced Manasses in 1076 as unfit for the office of Papal Legate. Bruno later returned to Cologne but went back to Rheims in 1080 when Manasses was deposed, and though the people of Rheims wanted to make Bruno archbishop, he decided to pursue an eremitical life. He became a hermit under Abbot St. Robert of Molesmes (who later founded Citeaux) but then moved on to Grenoble with six companions in 1084. They were assigned a place for their hermitages in a desolate, mountainous, alpine area called La Grande Chartreuse, by Bishop St. Hugh of Grenoble, whose confessor Bruno became. They built an oratory and individual cells, roughly followed the rule of St. Benedict, and thus began the Carthusian Order. They embraced a life of poverty, manual work, prayer, and transcribing manuscripts, though as yet they had no written rule. The fame of the group and their founder spread, and in 1090, Bruno was brought to Rome, against his wishes, by Pope Urban II (whom he had taught at Rheims) as Papal Adviser in the reformation of the clergy. Bruno persuaded Urban to allow him to resume his eremitical state, founded St. Mary's at La Torre in Calabria, declined the Pope's offer of the archbishopric of Reggio, became a close friend of Count Robert of Sicily, and remained there until his death on October 6. He wrote several commentaries on the psalms and on St. Paul's epistles. He was never formally canonized because of the Carthusians' aversion to public honors but Pope Leo X granted the Carthusians permission to celebrate his feast in 1514, and his name was placed on the Roman calendar in 1623. His feast day is October 6