Week Hot newz

Putin aagiza jeshi lake kuondoka Syria

Urusi ni mshirika wa karibu sana wa rais wa Syria Bashar al-Assad.
Rais wa Urusi Vladimir Putin ametoa amri kwa wanajeshi walioko Syria kurejea nyumbani mara moja kwa sababu tayari wametekeleza asilimia kubwa ya malengo yao.Akizungumza katika ikulu ya Kremlin Putin, alisema