Week Hot newz

Matumaini ya kupata chanjo dhidi ya Malaria kwa Mwaka 2014?



Kuna matumaini makubwa kwa Bara la Afrika katika kipindi cha Mwaka 2014 kuweza kupata kinga dhidi ya ugonjwa wa Malaria ambao umekuwa ni tishio kwa maisha na maendeleo ya wananchi wengi Barani Afrika. Majaribio ya chanjo yaliyofanywa kwa watoto 15, 500 yanaonesha kwamba, ugonjwa wa Malaria ulipingua kwa kipindi cha miezi 18 ya majaribio ya chanjo hii mpya. 


Kampuni ya GlaxosmithKline inatarajiwa