Week Hot newz

DA and Agang to hold separate press conferences


On Tuesday, Democratic Alliance leader Helen Zille announced that Agang SA leader Mamphela Ramphele would be her party's presidential candidate in the upcoming general elections.
However, confusion arose on Friday over Ramphele's joining the DA.
According to a joint statement issued by Ramphele and Zille on Friday, the Agang SA founder would be welcomed into the DA at a press conference in Johannesburg on Monday.
However, following the joint statement being issued, a message from Ramphele was uploaded onto Agang SA's website.
"You may have by now seen 'joint' statements issued by the Democratic Alliance in which it is claimed that I will be accepting DA membership on Monday," she said.
"This is not true. Nor did I agree to any such statement."
On Sunday, Zille said Ramphele had reneged on the agreement to be the Democratic Alliance's presidential candidate at a meeting on Sunday despite the party negotiating in good faith.

Mchakato wa kukutana na Yesu!



Kadiri ya misale ya mwaka 1962 ya Papa Yohane 23 kipindi cha noeli kinaisha kwa sikukuu ya leo. Lakini baada ya marekebisho ya kalenda mwisho wa kipindi cha Noeli ni baada ya Sikukuu ya Epifania, yaani baada ya sikukuu ya ubatizo wa Bwana wetu. Aidha, ni mwisho wa kipindi cha Epifania.

Zamani sikukuu hii ilijulikana kama sikukuu ya Mweuo wa Bikira Maria, lakini sasa ni “Kutolewa Bwana”. Kabla kabisa sikukuu hii ilikuwa inaadhimishwa huko kwenye Kanisa la Mashariki likijulikana kama sikukuu ya Maonano, au sikukuu ya kukutana kwa

Polisi wavamia msikiti Mombasa


Ramani
Watu 3 akiwemo polisi wameuawa na wengine kadha kujeruhiwa kwenye ghasia katika mji wa Mombasa, Kenya, baada ya polisi kuvamia msikiti unaosemekana kutoa mafunzi ya itikadi kali za dini ya kiisilamu
Polisi walitumia moshi wa kutoza machozi na risasi za raba dhidi ya waandamanaji na kuwakamata watu 100.
Viongozi wa mombasa wamelaani kitendo cha polisi wakisema kuwa ni kinyume na sheria.
Mashekhe wawili ambao wakihubiri katika msikiti wa Masjid Mussa walipigwa risasi na kuuliwa na watu wasiojulikana katika miezi ya karibuni.
Polisi wa Kenya wameuhusisha msikiti huo na kuajiri wapiganaji wa kundi la wapiganaji Waislamu wa Somalia, Al Shabaab, ambalo mwaka jana lilishambulia jumba la maduka la Westgate mjini Nairobi.