Jumapili,
Papa Francisko alifanya ziara ya Kichungaji , katika Kanisa la Moyo
Mtakatifu wa Yesu la Roma , katika mtazamo wa adhimisho la 100 tangu
Kanisa kuanzisha Siku ya Kimataifa kwa ajili ya kujali hali ya
Wahamiaji na Wakimbizi. Kanisa hilo, ambalo pia lina hadhi ya
Basilika, lililoko karibu na Kituo cha Kikuu Treni cha Kati, jijini
Roma , huendeshwa na Wamisionari WaSalesians ya Don