Week Hot newz

Maisha ya Mandela Afrika ya Kusini wanaikumbuka sana Tanzania

Wananchi wa Afrika ya Kusini wanaikumbuka sana Tanzania kutokana na mchango wake katika harakati za ukombozi kusini mwa Afrika, jambo ambalo limejenga urafiki na undugu wa dhati kati ya Afrika ya Kusini na Tanzania.

Tanzania chini ya uongozi wa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ilikuwa mstari wa mbele katika mapambono dhidi ya ukoloni na utawala wa ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini kwa kuamini kwamba, binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja.

Yesu Kristo ndiye kiini na chemchemi ya furaha ya kweli!

Baba Mtakatifu Francisko katika tafakari yake kwa Jumapili ya tatu ya Kipindi cha Majilio, anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema kufurahi kwani Noeli i karibu na kwamba, Kanisa linatumwa kutangaza Habari Njema ya Wokovu, hii ndiyo Injili. Kanisa si kimbilio la watu wenye nyuso za kukunjamana bali ni nyumba ya furaha! Kwa wale wenye majonzi wanaonja furaha ya kweli ndani ya Kanisa.

Furaha hii inatokana na utambuzi kwamba, mtu anapendwa

Chiefs banking on Madiba magic




Kaizer Chiefs will entertain the University of Pretoria at the FNB Stadium in an Absa Premiership match on Monday evening, kick-off at 8:30pm.
Chiefs racked up a third straight league victory when they beat Free State Stars 2-0 away from home in late November.
The Soweto giants are unbeaten at home this season, with four wins and two draws from six matches.
The Amakhosi are placed second on the Absa Premiership log with 21 points from 11 matches.
If they win their game against Tuks and log leaders Mamelodi Sundowns lose their derby match against SuperSport United on the same day, Chiefs will assume first place on the standings.

Mama Maria Nyerere,Kikwete wafunika mazishi ya Mandela


16th December 2013
Rais Jakaya Kikwete, akizungumza katika mazishi ya aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, hayati Neson Mandela, yaliyofanyika katika kijiji cha Qunu nchini humo jana.
Rais Jakaya Kikwete na mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere, jana walifunika kwenye ibada maalumu ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, iliyofanyika kijijini kwake Qunu, Mashariki mwa Cape.

Tukio hilo lilitokea baada ya Rais Kikwete kupewa fursa ya kuzungumza kwenye ibada hiyo ambayo ilianza mapema