Week Hot newz

Papa Francisko aunda Taasisi za kusimamia na kuratibu shughuli za uchumi na fedha ya Kanisa



Mama Kanisa amepewa dhamana ya kusimamia kwa uaminifu na busara mali ambayo amekabidhiwa kama sehemu ya utekelezaji wa utume wake wa Uinjilishaji, kwa kutoa kipaumbele cha kwanza kwa maskini na wote wanaosukumizwa pembezoni mwa Jamii.Usimamizi na uratibu mzuri wa mali ya Vatican una uhusiano wa pekee na utume wa Khalifa wa Mtakatifu Petro kwa ajili ya Kanisa la Kiulimwengu sanjari na maendeleo ya mtu mzima: kiroho na kimwili.

Kwa maneno haya Baba Mtakatifu Francisko, Jumatatu tarehe 24 Februari 2014 ameanzisha muundo mpya wa uchumi na uratibu wa wa shughuli za Vatican, baada ya kufanya marekebisho makubwa kuhusiana na Waraka wa Kitume wa Mchungaji Mwema, Pastor Bonus. Baada ya kupokea ushauri wa Makardinali kwa hiyari yake mwenyewe ameamua kuunda Baraza la Kipapa la Uchumi litakalosimamia na kuratibu shughuli zote za uchumi na fedha mjini Vatican pamoja na kusimamia taasisi zote zilizoko chini ya Vatican.

Baraza la Kipapa la Uchumi litakuwa na wajumbe kumi na watano, kati yao kutakuwepo na Makardinali au Maaskofu wanane watakaoteuliwa kutoka sehemu mbali mbali za dunia, kama kielelezo cha uwakilishi wa Kanisa la Kiulimwengu, wajumbe wengine saba watakuwa ni wataalam walei watakaoteuliwa kutoka katika mataifa mbali mbali: hawa wanapaswa kuwa na sifa, ujuzi na weledi katika masuala ya fedha na uchumi.

Baraza la Kipapa la Uchumi litasimamiwa na Kardinali ambaye atakuwa na dhamana ya kuratibu shughuli zote.

Baba Mtakatifu Francisko ameunda pia Sekretarieti ya Uchumi itakayokuwa inawajibika moja kwa moja kwa Khalifa wa Mtakatifu Petro katika utekelezaji wa majukumu yake kwa kuunda sera, kanuni na taratibu za manunuzi sanjari na ugavi bora wa rasilimali watu kwa kuzingatia mahitaji ya taasisi husika. Sekretarieti ya Uchumi itasimamiwa na Kardinali, kwa kushirikiana na Sekretarieti ya Vatican na kwamba, Katibu mkuu wa Sekretarieti atakuwa na dhamana ya kumsaidia Kardinali ambaye ataratibu shughuli zote hizi.

St. Tarasius

 
St. Tarasius
Feastday: February 25
730 - 806

St. Tarasius was subject of the Byzantine Empire. He was raised to the highest honors in the Empire as Consul, and later became first secretary to the Emperor Constantine and his mother, Irene. When being elected Patriarch of Constantinople, he consented to accept the dignity offered to him only on condition that a General Council should be summoned to resolve the disputes concerning the veneration of sacred images, for Constantinople had been separated from the Holy See on account of the war between the Emperors. The Council was held in the Church of the Holy Apostles at Constantinople in 786; it met again the following year at Nice and its decrees were approved by the Pope. The holy Patriarch incurred the enmity of the Emperor by his persistent refusal to sanction his divorce from his lawful wife. He witnessed the death of Constantine, which was occasioned by his own mother; he beheld the reign and the downfall of Irene and usurpation of Nicephorus. St. Tarasius' whole life in the Episcopacy was one of penance and prayer, and of hard labor to reform his clergy and people. He occupied the See of Constantinople twenty-one years and two months. His charity toward the poor was one of the characteristic virtues of his life. He visited in person, all the houses and hospitals in Constantinople, so that no indigent person might be overlooked in the distribution of alms. This saintly Bishop was called to his eternal reward in the year 806. His feast day is February 25th.

Daily Reading for Tuesday, February 25th, 2014


Reading 1, James 4:1-10

1 Where do these wars and battles between yourselves first start? Is it not precisely in the desires fighting inside your own selves?
2 You want something and you lack it; so you kill. You have an ambition that you cannot satisfy; so you fight to get your way by force. It is because you do not pray that you do not receive;
3 when you do pray and do not receive, it is because you prayed wrongly, wanting to indulge your passions.
4 Adulterers! Do you not realise that love for the world is hatred for God? Anyone who chooses the world for a friend is constituted an enemy of God.
5 Can you not see the point of the saying in scripture, 'The longing of the spirit he sent to dwell in us is a jealous longing.'?
6 But he has given us an even greater grace, as scripture says: God opposes the proud but he accords his favour to the humble.
7 Give in to God, then; resist the devil, and he will run away from you.
8 The nearer you go to God, the nearer God will come to you. Clean your hands, you sinners, and clear your minds, you waverers.
9 Appreciate your wretchedness, and weep for it in misery. Your laughter must be turned to grief, your happiness to gloom.
10 Humble yourselves before the Lord and he will lift you up.

Responsorial Psalm, Psalms 55:7-8, 9-10, 10-11, 23

7 How far I would escape, and make a nest in the desert!Pause
8 I would soon find a refuge from the storm of abuse, from the
9 destructive tempest, Lord, from the flood of their tongues. For I see violence and strife in the city,
10 day and night they make their rounds along the city walls, Inside live malice and mischief,
11 inside lives destruction, tyranny and treachery never absent from its central square.
23 You, God, will thrust them down to the abyss of destruction, men bloodthirsty and deceptive, before half their days are spent. For my part, I put my trust in you.

Gospel, Mark 9:30-37

30 After leaving that place they made their way through Galilee; and he did not want anyone to know,
31 because he was instructing his disciples; he was telling them, 'The Son of man will be delivered into the power of men; they will put him to death; and three days after he has been put to death he will rise again.'
32 But they did not understand what he said and were afraid to ask him.
33 They came to Capernaum, and when he got into the house he asked them, 'What were you arguing about on the road?'
34 They said nothing, because on the road they had been arguing which of them was the greatest.
35 So he sat down, called the Twelve to him and said, 'If anyone wants to be first, he must make himself last of all and servant of all.'
36 He then took a little child whom he set among them and embraced, and he said to them,
37 'Anyone who welcomes a little child such as this in my name, welcomes me; and anyone who welcomes me, welcomes not me but the one who sent me.'