Week Hot newz

TAARIFA ZA HIVI PUNDE;RAIS MAGUFULI ATANGAZA WAKUU WA MKOA WAPYA!



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara, ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo vyao vya kazi, 5 wamehamishwa vituo vya kazi na 1 amepangiwa Mkoa Mpya wa Songwe.

Huruma ya Mungu inamwilishwa katika huduma ya upendo!


Huruma ya Mungu inamwilishwa katika huduma ya mapendo: kiroho na kimwili!
Siku ile iliyotangulia kuteswa kwake, Yesu aliwaosha mitume wake miguu, jambo ambalo halikumfurahisha Mtakatifu Petro kiasi cha kukataa kuoshwa miguu na Yesu. Lakini Yesu akamfafanulia maana yake, akiwataka wafuasi wake kujikita katika huduma ya upendo, kama kielelezo makini cha ushuhuda wa imani inayomwilishwa katika matendo! Yesu ni kielelezo cha hali ya juu kabisa cha

Germanwings: Madaktari watoe siri za marubani

  Rubani msaidizi, Andreas Lubitz, aliangusha makusudi ndege hiyo kwenye milima ya Alps.

Wachunguzi kutoka Ufaransa, wamependekeza sheria kali inayozuia madaktari kufichua siri za marubani wagonjwa iondolewe.Wanasema iwapo sheria hiyo isingelikuwepo , ajali iliyosababishwa na rubani mwenza aliyekuwa amezongwa na mawazo isingelitokea.