Week Hot newz

Dawa za kulevya ni haramu!

Baba Mtakatifu Francisko, Ijumaa tarehe 20 Juni 2014 amekutana na wajumbe waliokuwa wanashiriki kwenye mkutano wa kimataifa kuhusu uthibiti wa dawa za kulevya, tatizo ambalo linaendelea kusababisha majanga makubwa kwa watu wa nyakati hizi.

Auawa kwa kupigwa risasi

MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Kamishina Msaidizi Kihenya Kihenya, alisema tukio hilo lilitokea Juni 13, saa 5 usiku wakati Masalu na wenzake 20 walipoingia ndani ya mgodi huo kwa nia ya kuiba mchanga wenye madini ya almasi.
Kamanda Kihenya alisema wakati wakiiba