Week Hot newz
-
Tunaendelea kama kawaida katika kipindi chetu, tafakari masomo Dominika, na leo tunatafakari masomo Dominika ya 33 ya mwaka C wa Kanisa...
-
Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki limezindua tovuti yake inayotoa habari muhimu kuhusu mchango wa Kanisa Katoliki katika sekta ya elimu ...
-
Mpendwa mwana wa Mungu, tuko tena pamoja katika ile habari ya furaha ndiyo kushirikishana mapendo ya Mungu kwa njia ya meza y...
-
Daily Reading for Tuesday, March 22nd, 2016 Reading 1, Isaiah 49:1-6 1 Coasts and islands, listen ...
-
Zaidi ya wadau elfu mbili na mia mbili wa Uinjilishaji nchini Argentina, kwa muda wa siku tatu, kuanzia tarehe 10 hadi tarehe 12 Oktob...
-
Utafiti mpya umeonesha watu wazima wengi duniani ni wanene kupita kiasi na kwamba hakuna matumaini ya kufikia lengo la kupunguza idadi...
Dawa za kulevya ni haramu!
Auawa kwa kupigwa risasi
MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu,
Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika
mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Kamishina Msaidizi Kihenya
Kihenya, alisema tukio hilo lilitokea Juni 13, saa 5 usiku wakati
Masalu na wenzake 20 walipoingia ndani ya mgodi huo kwa nia ya kuiba
mchanga wenye madini ya almasi.
Kamanda Kihenya alisema wakati wakiiba
Kamanda Kihenya alisema wakati wakiiba
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)