Week Hot newz
-
Reading 1, Colossians 1:15-20 15 He is the image of the unseen God, the first-born of all creation, 16 ...
-
Reading 1, Numbers 11:25-29 25 Yahweh descended in the cloud. He spoke to him and took some of the...
-
Neno Kwaresima linatokana na neno la lugha ya kilatini Quadragesima ; maana yake, namba arobaini. Kwa hiyo, Kwaresima ni kipindi cha siku ...
-
Klabu za Ligi ya Premia zilitumia zaidi ya £155m siku ya mwisho ya kuhama kwa wachezaji kipindi cha majira ya joto na kufikisha jumla y...
-
O eternal God and Ruler of all creation, You have allowed me to reach this hour. Forgive the sins I have committed this day by word, dee...
-
NYASA, MALAWI MSANII wa muziki wa injili nchini Malawi, Grace Chinga, amefariki dunia juzi kutokana na kusumbuli...
-
Reading 1, James 4:1-10 1 Where do these wars and battles between yourselves first start? Is it not prec...
-
Na Nkwazi Mhango, canada Pamoja na kupiga tubangi na kanywaji bado mzee mzima najua mipaka yangu. Najua kuwa ninapota...
Dawa za kulevya ni haramu!
Auawa kwa kupigwa risasi
MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu,
Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika
mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Kamishina Msaidizi Kihenya
Kihenya, alisema tukio hilo lilitokea Juni 13, saa 5 usiku wakati
Masalu na wenzake 20 walipoingia ndani ya mgodi huo kwa nia ya kuiba
mchanga wenye madini ya almasi.
Kamanda Kihenya alisema wakati wakiiba
Kamanda Kihenya alisema wakati wakiiba
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)