Week Hot newz

Siku ya Vijana Duniani 2019 kuadhimishwa nchini Panama!


Baba Mtakatifu Francisko mara baada ya maadhimisho ya Ibada ya Misa Takatifu kwenye Uwanja wa 

Huruma ya Mungu, Jimbo kuu la Cracovia Jumapili tarehe 31 Julai 2016 kama sehemu ya maadhimisho ya kufunga rasmi maadhimisho ya Siku ya XXXI ya Vijana Duniani kwa mwaka 2016, kabla ya kusali Sala ya Malaika wa Bwana na vijana kutoka sehemu mbali mbali za dunia, aliwashukuru wadau mbali mbali waliojisadaka kwa ajili ya kuandaa na hatimaye kufanikisha maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani.
Baraza la Maaskofu Katoliki Panama limepewa dhamana ya kuandaa Siku ya Vijana Duniani kwa mwaka 2019.