Week Hot newz

Upatu unadhalilisha utu na heshima ya binadamu!



Baba Mtakatifu Francisko wakati wa Katekesi yake Siku ya Jumatano, tarehe 29 Januari 2013 alikemea vikali tabia ya michezo ya upatu inayodhalilisha utu na heshima ya binadamu na kwa kusema kwamba, huu si Ukristo wala si ubinadamu; ni tabia ambayo inapaswa kukomeshwa ndani ya Jamii kwani inawasababishia watu majanga ya maisha! 


Baba Mtakatifu ameyasema hayo wakati alipokuwa anawasalimia wawakilishi wa Mfuko wa Yohane Paulo II wa washauri dhidi ya upatu kitaifa, ambao baadaye jioni waliadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye

AZAM YAPANDA KILELENI, KIPRE AMKAMATA TAMBWE KWA MAGOLi

Azam FC imeonyesha kama wakizubaa, basi inabeba ubingwa baada ya kuichapa Rhino ya Tabora kwa bao 1-0 na kupaa kileleni mwa ligi.

Kwa ushindi huo, Azam FC imesikisha pointi 33 na kuiteremsha Yanga yenye pointi 32 ambayo ilikuwa inaongoza hadi mwishoni mwa mzunguko wa kwanza.

Kabla ya kushuka uwanjani leo mjini Tanga, Yanga ilikuwa na pointi 31, pointi moja zaidi ya Azam FC, lakini sare dhidi ya Coastal imeifanya ishike nafasi ya pili.

Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Mbagala jijini Dar, bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kipre Herman Tchetche raia wa Ivory Coast.



Azam inayofundishwa na Kocha Omog raia wa Cameroon ilionyesha soka la taratibu lakini pasi za taratibu na uhakika na mwisho ikafanikiwa kushinda.

Azam FC imeonyesha kama wakizubaa, basi inabeba ubingwa baada ya kuichapa Rhino ya Tabora kwa bao 1-0 na kupaa kileleni mwa ligi.

Kwa ushindi huo, Azam FC imesikisha pointi 33 na kuiteremsha Yanga yenye pointi 32 ambayo ilikuwa inaongoza hadi mwishoni mwa mzunguko wa kwanza.

Kabla ya kushuka uwanjani leo mjini Tanga, Yanga ilikuwa na pointi 31, pointi moja zaidi ya Azam FC, lakini sare dhidi ya Coastal imeifanya ishike nafasi ya pili.

Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Mbagala jijini Dar, bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kipre Herman Tchetche raia wa Ivory Coast.

Azam inayofundishwa na Kocha Omog raia wa Cameroon ilionyesha soka la taratibu lakini pasi za taratibu na uhakika na mwisho ikafanikiwa kushinda.

Wajawazito 1,500 wakutwa na VVU


Wajawazito 1,500 wakutwa na VVU 
JUMLA ya wanawake wajawazito 1,576 kati ya 42,712 waliopima

Yanga yashikwa, Azam kileleni


Mabingwa Yanga walishikwa kwa sare ya 0-0 ugenini mkoani Tanga dhidi ya Coastal Union na kushuhudia wakitema uongozi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya Azam FC kushinda 1-0 dhidi ya Rhino Rangers na kushika usukani wa ligi.

Mbeya City ambao waliianza siku ya jana wakiwa na pointi 30 sawa na Azam, nao walidondosha pointui mbili jana kufuatia sare ya 1-1 ugenini Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini.

Matokeo hayo yalimaanisha kwamba Azam sasa wako kileleni mwa msimam

Ni uchawi wa Uturuki, Oman Mkwakwani

WAKATI mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), Yanga, wakitarajiwa kushuka kwenye dimba la Mkwakwani jijini Tanga kuwavaa wenyeji Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ leo, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limewataka mashabiki watakaosafiri kwenda huko kuhakikisha wanakamilisha kununua tiketi za elektroniki.
Yanga iliyotoka kusaka makali

Jitahidini kuangalia ukweli katika jicho la Kristo!

Katika Maadhimisho ya Kumbu kumbu ya Mtakatifu Thoma wa Akwino, Mwalimu wa Kanisa na msimamizi wa Taasisi za Kipapa, Jumanne tarehe 28 Januari 2014, Taasisi za Kipapa zilifanya kikao cha hadhara kilichohudhuriwa na viongozi wa Kanisa, Serikali,

Makumbusho ya Vatican ni kati ya vivutio vikuu mjini Vatican!

Zaidi ya watu millioni 5. 5 walitembelea Makumbusho ya Vatican katika kipindi cha Mwaka 2013. Hii ni habari njema kwa kuona kwamba, kuna mamillioni ya watu wanaovutwa kutembelea hazina kubwa ya binadamu inayohifadhiwa kwenye Makumbusho ya Vatican. Watu zaidi ya millioni mbili kila mwaka hutembelea kitengo