Week Hot newz

A Prayer to be Generous

Teach me, Lord Jesus, to be generous:
to serve You as You deserve;
to give, not counting the cost;
to fight, not heeding the wounds;
to toil, not asking for rest;
to labor, not seeking any reward,
save that of knowing that we do Your will.
Amen.

Farijianeni ninyi kwa ninyi kwa maneno na matendo mema, wala siyo porojo



Tarehe 1 Septemba Baba mtakatifu Francis ameanza maadhimisho ya misa ya kila Siku katika Kanisa dogo  la Mtakatifu  Marta mjini Vatican baada ya kusitisha karibia kwa kipindi cha miezi miwili.
katika mahubiri yake amegusia juu nguvu ya mkristo anaiyopata kutoka kwa Yesu mwenyewe, kwasababu matumaini ya kukutana na Yesu mwishoni inakufanya utie   juhudi kati ya wakristo wenyewe kwa wenyewe katika  kufarijiana  kwa maneno mema na matendo , na wala siyo porojo zisizo faa .

"Step-By-Step" Instructions for Praying The Rosary

  1. Begin by holding the crucifix, saying "In the Name of the Father and of the Son and of the Holy Spirit," (making the sign of the Cross while doing that), then say the Apostles Creed.
  2. On the single bead just above the cross, pray the "Our Father." This and all prayers of the rosary are meditative prayers.
  3. The next cluster has 3 beads. The "Hail Mary" prayer is said on these three beads. You pray the 3 Hail Marys while meditating on the three divine virtues of faith, hope, and love/charity.
  4. On the chain or cord after the three beads, say the "Glory be..."
  5. On the next bead, which is a single bead, you announce the first divine mystery of contemplation.  For example, if it were a Monday, you would say the first Joyful Mystery is "The Annunciation", at this point you pray the "Our Father" prayer.
  6. Now this will bring you to the first decade, or set of 10 beads of the Rosary.  You will then pray 10 Hail Marys while contemplating the first mystery, example: The Annunciation.
  7. After the 10th Hail Mary you will have completed the first of 5 decades which make up a Chaplet of the Rosary. You now come to another single bead, at this point, you pray the... Glory be to the Father... then (on the same bead) pray the O My Jesus... then (on the same bead) announce the next or second mystery. For example: if its Monday and your praying the Joyful Mysteries, the second Joyful Mystery is The Visitation.   At this point you pray the Our Father....
  8. You will now come to the second decade or group of 10 beads, you will now pray the 10 Hail Marys while contemplating the appropriate mystery.
  9. You continue to pray the rosary the same way throughout. If your intention is to pray a Chaplet (a single set of mysteries) at the end of the fifth mystery you will come back to the joiner, this is where the decades all join with the lower part of the rosary which contains the cross.  When you come to the joiner, you decide whether or not you wish to say another Chaplet or end.  If you decide to say another Chaplet you simply announce the next mystery and continue. If you wish to end, you simply say the Glory Be To The Father, the O My Jesus, The Our Father and end the rosary with the Hail Holy Queen and the sign of the Cross........

Various Rosary Prayers in approximate order as prayed in the Rosary

THE APOSTLE'S CREED

I believe in God, the Father Almighty, Creator of heaven and earth and in Jesus Christ, His only Son, our Lord; Who was conceived by the Holy Spirit, born of the Virgin Mary, suffered under Pontius Pilate, was crucified, died, and was buried, He descended into hell; the third day He arose again from the dead; He ascended into Heaven, sitteth at the right hand of God, the Father Almighty, from thence He shall come to judge the living and the dead. I believe in the Holy Spirit, the Holy Catholic Church, the communion of saints, the forgiveness of sins, the resurrection of the body, and life everlasting. Amen.

THE OUR FATHER

Our Father, Who art in Heaven, hallowed be Thy name; Thy Kingdom come, Thy will be done on earth as it is in Heaven.  Give us this day our daily bread; and forgive us our trespasses as we forgive those who trespass against us; and lead us not into temptation, but deliver us from evil.   Amen.

THE DOXOLOGY

Glory be to the Father, the Son, and the Holy Spirit.  As it was in the beginning is now and ever shall be, world without end.  Amen. (this prayer is optional and may be said after all Glory Be to the Fathers.....)
O my Jesus, have mercy on us. Forgive us our sins. Save us from the fires of hell. Take all souls into heaven, especially, those most in need of thy mercy. Amen.

THE HAIL MARY

Hail Mary, full of grace, the Lord is with thee, blessed art thou amongst women and blessed is the fruit of thy womb, Jesus. Holy Mary Mother of God, pray for us sinners now and at the hour of our death. Amen.

DECADE PRAYER

(Prayer for Priests):  God, our Father, please send us holy priests, all for the sacred and eucharistic heart of Jesus, all for the sorrowful and immaculate heart of Mary, in union with saint Joseph.  Amen.

THE SALVE REGINA

(Hail Holy Queen):  Hail Holy Queen, Mother of Mercy, our life our sweetness and our hope.  To thee do we cry, poor banished children of Eve; To thee do we send up our sighs, mourning and weeping in this valley of tears.  Turn then, most gracious advocate, thine eyes of mercy toward us and after this our exile show unto us the blessed fruit of thy womb, Jesus.  O clement, O loving, O sweet Virgin Mary!
V: Pray for us, O Holy Mother of God
R: That we may be made worthy of the promises of Christ.

LET US PRAY

O God, whose only begotten Son, by His life, death, and resurrection, has purchased for us the rewards of eternal salvation. Grant, we beseech Thee, that while meditating on these mysteries of the most holy Rosary of the Blessed Virgin Mary, that we may imitate what they contain and obtain what they promise, through Christ our Lord. Amen.
Most Sacred Heart of Jesus, have mercy on us.
Immaculate Heart of Mary, pray for us.

FATIMA PRAYER

Most Holy Trinity - Father, Son, and Holy Spirit - I adore thee profoundly.  I offer Thee the most precious Body, Blood, Soul and Divinity of Jesus Christ, present in all the tabernacles of the world, in reparation for the outrages, sacrileges and indifference's whereby He is offended.  And through the infinite merits of His Most Sacred Heart and the Immaculate Heart of Mary, I beg of Thee the conversion of poor sinners.
"Let this prayer be echoed all over the world." -   Mary

Fatima Prayer

My God, I believe, I adore, I hope, and I love You.  I beg pardon of You for those who do not believe, do not adore, do not hope, and do not love You.
Mary, Queen of the Holy Rosary, pray for us. Mary, Queen of Peace, pray for us. Mary, Our Loving Mother, pray for us.

MEMORARE

Remember, O most gracious Virgin Mary that never was it known that anyone who fled to Your protection, implored Your help, or sought Your intercession was left unaided. Inspired with this confidence, we fly to you, O Virgin of virgins, our Mother. To You we come; before You we stand, sinful and sorrowful. O Mother of the Word Incarnate, despise not our petitions, but in Your mercy, hear and answer us.  Amen.


The Fifteen Promises of Mary to Christians Who Recite the Rosary

  • Whoever shall faithfully serve me by the recitation of the rosary, shall receive signal graces.
  • I promise my special protection and the greatest graces to all those who shall recite the rosary.
  • The rosary shall be a powerful armor against hell, it will destroy vice, decrease sin, and defeat heresies.
  • It will cause virtue and good works to flourish; it will obtain for souls the abundant mercy of God; it will withdraw the heart of men from the love of the world and its vanities, and will lift them to the desire of eternal things.  Oh, that souls would sanctify themselves by this means.
  • The soul which recommend itself to me by the recitation of the rosary, shall not perish.
  • Whoever shall recite the rosary devoutly, applying himself to the consideration of its sacred mysteries shall never be conquered by misfortune. God will not chastise him in His justice, he shall not by an unprovided death; if he be just he shall remain in the grace of God, and become worthy of eternal life.
  • Whoever shall have a true devotion for the rosary shall not die without the sacraments of the Church.
  • Those who are faithful to recite the rosary shall have during their life and at their death the light of God and the plenitude of His graces; at the moment of death they shall participate in the merits of the saints in paradise.
  • I shall deliver from purgatory those who have been devoted to the rosary.
  • The faithful children of the rosary shall merit a high degree of glory in heaven.
  • You shall obtain all you ask of me by the recitation of the rosary.
  • All those who propagate the holy rosary shall be aided by me in their necessities.
  • I have obtained from my Divine Son that all the advocates of the rosary shall have for intercessors the entire celestial court during their life and at the hour of death.
  • All who recite the rosary are my son, and brothers of my only son Jesus Christ.
  • Devotion of my rosary is a great sign of predestination.
(Given to St. Dominic and Blessed Alan) Imprimatur: Patrick J. Hayes DD Archbishop of New York)

WHY the Daily Rosary?

  • Our Lady has 117 titles. She selected this title at Fatima: "I am the Lady of the Rosary."
  • St. Francis de Sales said the greatest method of praying IS- Pray the Rosary.
  • St. Thomas Aquinas preached 40 straight days in Rome Italy on just the Hail Mary.
  • St. John Vianney, patron of priest, was seldom seen without a rosary in his hand.
  • "The rosary is the scourge of the devil" -- Pope Adrian VI
  • "The rosary is a treasure of graces" -- Pope Paul V
  • Padre Pio the stigmatic priest said: "The Rosary is THE WEAPON"
  • Pope Leo XIII wrote 9 encyclicals on the rosary.
  • Pope John XXIII spoke 38 times about our Lady and the Rosary. he prayed 15 decades daily.
  • St. Louis Marie Grignion de Montfort wrote: "The rosary is the most powerful weapon to touch the Heart of Jesus, Our Redeemer, who so loves His Mother."
  • MARY, QUEEN OF THE HOLY ANGELS -- PRAY FOR US!
  • "Jesus, Mary, I Love You, Save Souls"
  • J.M.J. = JESUS, MARY, JOSEPH - the Holy Family......

Pope Saint Gregory the Great

Short Cuts
Image of Pope Saint Gregory the Great

Facts

Feastday: September 3
Death: 604

St. Gregory, born at Rome about the year 540, was the son of Gordianus, a wealthy senator, who later renounced the world and became one of the seven deacons of Rome. After he had acquired the usual thorough education, Emperor Justin the Younger appointed him, in 574, Chief Magistrate of Rome, though he was only thirty-four years of age.
After the death of his father, he built six monasteries in Sicily and founded a seventh in his own house in Rome, which became the Benedictine Monastery of St. Andrew. Here, he himself assumed the monastic habit in 575, at the age of thirty-five.
After the death of Pelagius, St. Gregory was chosen Pope by the unanimous consent of priests and people. Now began those labors which merited for him the title of Great. His zeal extended over the entire known world, he was in contact with all the Churches of Christendom and, in spite of his bodily sufferings, and innumerable labors, he found time to compose a great number of works. He is known above all for his magnificent contributions to the Liturgy of the Mass and Office. He is one of the four great Doctors of the Latin Church. He died March 12, 604. He is the patron of teachers.

Daily Reading for Thursday, September 3rd, 2015


Reading 1, Colossians 1:9-14

9 That is why, ever since the day he told us, we have never failed to remember you in our prayers and ask that through perfect wisdom and spiritual understanding you should reach the fullest knowledge of his will
10 and so be able to lead a life worthy of the Lord, a life acceptable to him in all its aspects, bearing fruit in every kind of good work and growing in knowledge of God,
11 fortified, in accordance with his glorious strength, with all power always to persevere and endure,
12 giving thanks with joy to the Father who has made you able to share the lot of God's holy people and with them to inherit the light.
13 Because that is what he has done. It is he who has rescued us from the ruling force of darkness and transferred us to the kingdom of the Son that he loves,
14 and in him we enjoy our freedom, the forgiveness of sin.

Responsorial Psalm, Psalms 98:2-3, 3-4, 5-6

2 Yahweh has made known his saving power, revealed his saving justice for the nations to see,
3 mindful of his faithful love and his constancy to the House of Israel. The whole wide world has seen the saving power of our God.
4 Acclaim Yahweh, all the earth, burst into shouts of joy!
5 Play to Yahweh on the harp, to the sound of instruments;
6 to the sound of trumpet and horn, acclaim the presence of the King.

Gospel, Luke 5:1-11

1 Now it happened that he was standing one day by the Lake of Gennesaret, with the crowd pressing round him listening to the word of God,
2 when he caught sight of two boats at the water's edge. The fishermen had got out of them and were washing their nets.
3 He got into one of the boats -- it was Simon's -- and asked him to put out a little from the shore. Then he sat down and taught the crowds from the boat.
4 When he had finished speaking he said to Simon, 'Put out into deep water and pay out your nets for a catch.'
5 Simon replied, 'Master, we worked hard all night long and caught nothing, but if you say so, I will pay out the nets.'
6 And when they had done this they netted such a huge number of fish that their nets began to tear,
7 so they signalled to their companions in the other boat to come and help them; when these came, they filled both boats to sinking point.
8 When Simon Peter saw this he fell at the knees of Jesus saying, 'Leave me, Lord; I am a sinful man.'
9 For he and all his companions were completely awestruck at the catch they had made;
10 so also were James and John, sons of Zebedee, who were Simon's partners. But Jesus said to Simon, 'Do not be afraid; from now on it is people you will be catching.'
11 Then, bringing their boats back to land they left everything and followed him.

Papa Francis asema badilisheni mioyo yenu ili kutoa ushuhuda kama wakristo


Ipo hatari kubwa ya kijifikira ya kwamba kila kitu ni sawa, na mbaya zaidi ni kujifikiria wewe ni zaidi ya wengine, kwasababu ya kufuata sheria , mila na  desturi. Hata kama hatupendi ndugu , lakini  tunayo miyo migumu , kujidai, na kiburi.
Ni maneno ambayo baba Mtakatifu Fransis aliyasema wakati kwa maubiri wakati wa sala ya malaika wa Bwana  29 Agosti akichambua  Injili ya Jumapili ambayo Yesu alikuwa akiongea na waandishi na wafarisayo juu ya thamani ya mila na desturi ya zamani.
Amri zilizo wekwa na binadamu, siyo amri za Mungu , inabidi watu wafanye utofauti, Akimtaja nabii Isaya ambaye aliwataadhalisha  watu ya kuwa amri moja isichukuliwe kamwe nafasi ya mwingine, na zaidi akikimbuka maneno ya Yesu, “Ninyi mwaiacha amri ya Mungu , na kuyashika mapokeo ya wanadamu.
Papa aliendelea ;Waandishi na wafarisayo walikuwa wakiweka sheria kali ambazo waliweka ziwe kama sheria kweli  za dini, lakini Yesu anawafindisha ya kuwa kuna jambo jingine. Papa anaeleza juu ya utofauti wa sheria hizi, ya kuwa  Kufuata amri zilizoandikwa na binadamu  , ni kitu ambacho ni tasa  kama hizi amri  hazibadilishi mioyo na kuwa kitu halisi: kama vile kufungua moyo kwa Mungu na katika neno lake, katika sala, kwa kutafuta haki na amani, kuwasaidia masikini , wadhaifu , na wanaoteswa.
Akiangalia mtazamo halisi wa maisha ya Jumiya ya kanisa alisema: Wote tunatambua katika jumuiya zetu, katika parokia zetu , na mitaa yetu, ni jinsi gani inavyotia haibu  katika kanisa  kwa wale watu ambao wanadai ni wakatoliki na  mara kwa mara wanakwenda kanisani, lakini baadaye katika maisha yao ya kila siku , hawajali familia, wanasengenya wengine, na unafiki, hizo ndizo Tabia  Yesu anahukumu, kwasababu hazitoi ushuhuda wa kikristo.
Ni katika Yesu, kuna maisha alisema Papa ,, na hekima yake inatuokoa katika tuhuma za namana hiyo “ siyo mambo ya kijuu juu yanayotufanya tuwe watakatifu au kutokuwa watakatifu, bali ni moyo unaojieleza nia ya ndani , uchaguzi na utashi wa kufanya jambo kwaajili ya upendo wa Mungu .
Papa hana wasiwasi juu ya hilo maana alisisitiza , bila moyo uliotakasika, haiwezekani ukawa na mikono iliyo safi kabisa na midomo inayotamka maneno yenye ukweli , wa  upendo, wa  huruma , wa  msamaha. Alisistiza.
Tabia za kijuu juu , ni matokeo ya kile tulichokiamu katika mioyo yetu, na siyo tofauti.Kwa tabia ya kijuu tu amabayo moyo haukubadilikam unaonyesha ni jinsi gani sisi siyo wakaristo wa kwelina hivyo Papa alawataka watu kufanya juuhi ya kwanza ya kujali  undani wa moyo .
Mpaka  kati ya wema na ubaya hautoki   nje  yetu bali uko ndani yetu: Tunaweza kujiuliza ,je  moyo wangu wangu uko wapi? Bwana Yesu alisema, "mahali palipo tunu ndipo moyo wako ulipo”Je Tunu yangu ni ipi? je ni Yesu na mafundisho yake?  Je ni  moyo mwema na  tunu au kitu kingine?
Alimazia mahubiri yake  na  maneno mengine ya Yesu yasemayo, “hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo , ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu” (Mk 7,15)
Na baada ya Malaika wa Bwana
Baba mtakatifu alieleza maskitko yake  juu ya hali mbaya ya wakimbizi ambao kwa siku zilizopita na sasa watu wanaendela kupoteza maisha yao katika safari ya kutafuta mahali pa utulivu.
Alisema hawa ni ndugu zetu inabidi kusali kwaajili yao akiwakumbuka hata wale miili 71 iliyo kutwa katika Lori kwenye barabara za Budapest kuelekea Vienna.
Alimtaja  Cardianali  Schönborn wa kutoka Uswis ambaye alikuwa miongoni mwa umati  katika viwanja vya Mtakatifu Petro  kutokana na tukio hilo.
Aliwaweka chini ya huruma ya Mungu na kuomba wahusika kufanya lile liwezakanalo kuzuia majanga haya.

Józef Wesolowski amefariki kawaida

Uchunguzi wa  mwili wa Askofu Józef Wesolowski, umekamilika na matokeo kwamba amekufa kifo cha kawaida. 
Kufuatia kifo cha ghafla, kilichotokea Alhamisi Augosti 27 ndani nyumba ya Vatican,  kwa Joseph Wesolowski , aliyekuwa Mjumbe wa  Kitume huko San Domenico,  Ofisi ya utetezi wa   Sheria Vatican, kama sehemu ya majukumu ya mamlaka ya sheria Vatican, imetangaza kwamba , Marehemu  Josef Wesolowski  amefariki kwa kifo cha kawaida.  Maelezo haya yametolewa baada ya kutekelezwa agizo la mwili wa marehemu uchunguzwe kitalaam kujua chanzo au asili ya kifo hicho. Na hivyo Mamlaka ya sheria iliteua Tume maalum ya wataalamu tatu, chini ya uratibu na Prof John Arcudi, Profesa wa uchunguzi wa kidaktari katika Chuo Kikuu cha Rome "Tor Vergata".

Uchunguzi ulifanyika  siku ya Ijumaa alasiri matokeo yake yamethibitisha  kwamba ni kifo cha kawaida, kilichotokana na mapigo ya moyo kusimamisha. Mara kilipotokea kifo hiki, Ofisi ya utetezi wa Sheria, ilitaka kupata  matokeo ya vipimo vya uchunguzi wa maabara uliofanywa na Tume hiyo.
Marehemu  Józef Wesolowski  alizaliwa Julai 15, 1948 Poland. Baada ya kukamilisha masomo yake ya kikuhani, alilitumikia Kanisa katika ngazi mbalimbali, na mwaka 2008 aliteuliwa na Papa Bendikto XVI,  kuwa Mjumbe wa Kitume wa Papa katika Jamhuri ya Kisiwa cha Domenicani hadi Agosti 13, 2013, alipoachishwa kazi hiyo na Vatican kufuatia tuhuma za kudhulumu watoto kinjisia. Mwaka 2014, alivuliwa cheo cha Askofu Mkuu na kinga ya kidiplomasia ili  Mamlaka katika Jamhuri ya Domenicani iweze kuchunguza madai ya unyanyasaji wa watoto yaliyotolewa  dhidi yake. Hivyo vyombo vya kisheria vya Vatican vilikuwa bado vikifuatilia kesi yake.