Akiandika katika ukurasa wake wa Histogram, Wema alisema anachukizwa
sana na kitendo hicho, kwani kinamfanya asikae kwa amani na watu walio
karibu yake, na wengine wanamtenga kupitia vichwa vya habari tofauti
vya magazeti, ambavyo kwa asilimia kubwa anasema vinatumika kuuzia
magazeti hayo.
“Hivi karibuni kuna gazeti moja limeandika, ‘Ishu ya dawa za kulevya –
Wema kunyongwa China,

Nguza Viking na mtoto wake Papii wakitoka mahakamani
Mahakama ya Rufaa nchini
Tanzania imetupilia mbali ombi la warufani wawili Nguza Viking na
mwanaye, ambao waliomba mahakama hiyo kufanya marejeo ya uamuzi wake wa
awali wa kuwapata na hatia kama ambavyo hukumu dhidi yao ilivyotolewa na
mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mwaka 2004.
Nguza Viking, maarufu kama Babu Seya na watoto
wake watatu walihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kubaka na
kulawiti watoto.