Week Hot newz

Papa Francis:Kila mmoja anaye Malaika wake mlinzi!

Ni lazima kugeuka watoto wadogo , maana ndiyo walio wakubwa katika ufalme mbingu. - AFP

Vatican Radio: Mungu alimpatia kila mmoja mwenzake wa kumsindikiza, ambaye ni malaika kwa ajili ya kushauri na kulinda na pia Malaika ni wa kusikilizwa kwa makini.  Papa Francis aliyasema hayo katika mahubiri yake  Ijumaa 2 Oktoba  katika Kanisa la Mtakatifu Marta Vatican ambapo, Kanisa likiwa linafanya kumbukumbu ya malaika walinzi.Papa alisema ya kwamba, ukitaka kutambua baba ambaye anapenda na pia  anafunika , anaonekana katika kurasa za kwanza za Biblia ambamo Mungu alipowafukuza Adamu na Eva katika bustani ya Eden lakini hakuwaacha peke yao na kuwaambia  fanyeni mnavyotaka.

Papa Francis anataja sala ya Zaburi ambayo inaonyesha ya kwamba malaika daima walivyo walinzi katika kila aina ya jambo lolote la binadamu na mbinguni. Bwana alimpatia Kila mmoja mwenza anaye muongoza  na daima yupo nasi  na hali halisi ya kweli,  kama balozi wa Mungu kwetu sisi.Na Mungu anatushauri kuwa makini na kugundua uwepo wake , hata kama sisi tukiwaza kutenda ukatili na kufikiri tuko peke yetu si kweli , kwa maana yupo malaika .

Ni lazima kumsikiliza kwa makini sauti yake kwasababu anatushauri . Papa alisema, mara kwa amara tunapoijiwa na mawazo ya kufanya jambo fulani au kujisikia usifanye  ni lazima kusikiliza na wala siyo kuwa wakaidi. Aliongeza  ya kwamba Malaika  walinzi wanatutetea daima na zaidi juu  ya ubaya, na kubainisha pia  mara nyingi tunafikiria kwamba tunaweza kuficha  mambo mengi , na mambo mabaya ambayo mwisho wake lakini  hayo yote yatajitokeza kwenye mwanga.
Malaika yupo kutushuauri na kutufunika ni kama vile ambavyo anagefanya rafiki yetu ambaye mara nyingi hatumwoni lakini tunamsikia , ni rafiki ambaye siku moja atakuwa na sisi katika furaha ya milele huko mbinguni.
 Rafiki huyo lakini anahitaji usikivu , msindikizaji huyo ni wa kuheshimu na kusikilizwa  katika safari yetu anaitwa usikivu kwa makini.Kila Mkristo anapaswa kuwa makini katika usikivu  wa roho mtakatifu, Na usikivu wa roho mtakatifu  unaanza pale kwenye usikivu wa ushauri wa huyo mwenza wetu katika safari. Ili kuwa wasikivu , papa anaelekeza ni lazima kugeuka watoto wadogo, ambao Yesu mwenyewe alisema ndiyo walio wakubwa katika ufalme wa Baba yake.
Na hivyo papa alimalizia akisema ya kwamaba Malaika walinzi ni wenza wa safari ambao wanatufundisha unyenyekevu, kama vile watoto wanavyotakiwa kusikilizwa. Na tuombe neema ya Bwanan ya kuwa wasikivu , wa kusikiliza sauti ya huyo mwenza wetu  , na balozi wa Mungu aliye karibu nasi kwa jina lake, na sisi tunapata msaada kutoka kwake.

Watanzania dumisheni haki na amani ili kufanikisha uchaguzi mkuu 2015


 

Watanzania wanapoendelea na kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaoratajiwa kufanyika hapo tarehe 25 Oktoba 2015 wametakiwa kujenga na kudumisha amani, utulivu na maridhiano, ili kutoa nafasi kwa wagombea nafasi mbali mbali za uongozi kuweza kunadi sera na vipaumbele vyao. Changamoto hii imetolewa hivi karibuni na mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Galawa katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake hivi karibuni na mwakilishi kutoka Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma wakati wa kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya miaka 200 tangu kuanzishwa kwa Shirika la Wamissionari wa Damu Azizi ya Yesu na kumbu kumbu ya takribani miaka 50 ya uwepo wa Wamissionari hao nchini Tanzania.

Mkuu wa mkoa wa Dodoma kwa namna ya pekee amewapongeza Wamissionari wa Damu Azizi ya Yesu, Kanda ya Tanzania kuwa kweli ni wadau wakuu wa maendeleo kwa mikoa ya Kanda ya kati. Huko wamekuwa mstari wa mbele katika huduma kwa wagonjwa na maskini; elimu kwa watoto na vijana, huduma ya maji pamoja na kukoleza mchakato wa maendeleo endelevu ya watanzania: kiroho na kimwili. Sherehe hizi zilihudhuriwa na umati mkubwa wa Familia ya Mungu kutoka ndani na nje ya Tanzania.
Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S.
Dodoma, Tanzania.

Moses Josiah aibuka na Macho yameona mengi!

Pichani kutoka kushoto Msanii wa bongo fleva na nyimbo asili ya Kitanzania Batarokota akiwa na mwanamziki wa nyimbo za injili Moses Josiah 

Malkia wa muziki wa gospel nchini bibie Rose Muhando hatimaye amemaliza kurekodi album yake mpya ya sauti pamoja na kurekodi nyimbo mbili kwenye video huko nchini Afrika ya kusini chini ya kampuni ya Sony Music Entertainment ya Afrika ya kusini.

Kwa mujibu wa taarifa alizotoa mwimbaji huyo hii leo amesema amekamilisha nyimbo tatu zilizokuwa zimebakia katika kukamilisha album hiyo ya sauti ambayo hata hivyo hajaitaja jina. Mwimbaji huyo ambaye aliingia mkataba na kampuni hiyo ya kimataifa mapema mwaka jana, tayari amepata mafanikio makubwa kwenye medani ya muziki wa injili nchini tokea atoe album yake ya kwanza ya ''Mteule uwe Macho'' hadi yasasa ya ''Utamu wa Yesu''.

Hapana shaka kwamba album mpya itakuwa na kiwango kikubwa zaidi cha usikivu si kwenye sauti tu pia muziki wake utakuwa umerekodiwa kwenye viwango vikubwa kitu ambacho kitalifanya jina la Kristo lizidi kutangazwa si Tanzania tu bali maeneo mbalimbali duniani. Kila la kheri Rose Muhando.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2012/08/rose-muhando-akamilisha-album-mpya.html#sthash.kcdnx4hg.dpuf
MWANAMZIKI wa nyimbo za Injili hapa nchini Moses Josiah anayetamba sana Afrika Mashariki na Kati nyimbo zake kama  `Ruadha inmitelona` iliyoimba kwa kijaruo ,hivi karibuni ameibuka albamu mpya inayoitwa `macho yameona mengi.
Mwimbaji Elizabeth Josiah

Akizungumza na Batarokota Online kutoka jijini Mwanza, Nchini Tanzania Mwanamziki Moses Josiah alisema ` nimekamilisha albamu yangu yenye nyimbo nane ambazo ni wewe ni Mungu, Tazama, Ruadha inmitelona,Bwana wa Mabwana,Mwambie Yesu,Galilaya, yeye ndio na Mambo yameona mengi ambayo ndio imechukua jina la album katika kuandaa albamu hii nimeshirikiana na  Mwimbaji Elizabeth Josiah` alisema Moses Josiah

Albamu hii ya Macho yameona mengi inerekodiwa katika studio za EX2 Studio iliyo maeneo ya Mecco jijini Mwanza nchini Tanzania. Na albamu hii ilikamilika mwaka 2014 na kuwa tiyari ila matatizo anayoyapata Mwanamziki Moses Josiah ni kupata wasambazaji ili iweze kuwafikia wapenzi mziki wa injili na anaomba watu wenye kuitaji huduma yake ya kuinjirisha wawasiliane nae kwa facebook.com/Moses Josiah
 Pichani kutoka kushoto Msanii wa bongo fleva na nyimbo asili ya Kitanzania Batarokota akiwa na mwanamziki wa nyimbo za injili Moses Josiah

Usajili leseni kwa mtandao utaboresha uchumi



Kwa kipindi kirefu, wafanyabiashara wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa wa kupata leseni za kufanyia biashara kutokana na urasimu na ukiritimba uliojidhihirisha kutoka kwa mamlaka husika.

Mfumo mpya wa kutumia usajili wa leseni za biashara kwa kutunia mtandao, ambao ulizinduliwa na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Rais Jakaya Kikwete, jijini Dar es Salaam juzi, utawawezesha wafanyabiashara kupata leseni za biashara kwa haraka zaidi katika maeneo yao na kukamilisha malipo ya ada kwa njia ya mtandao.

Huo ni mfumo mpya wa usajili wa wafanyabiashara kwa njia ya mtandao, ambao unalenga kuondoa urasimu na kuboresha mazingira ya kibiashara kwa Watanzania.

Kutokana na mfumo huo, inatarajiwa kuwa utapunguza pia msongamano wa wafanyabiashara wanaoenda kujiandikisha ili kupata leseni na kuzilipia katika taasisi husika.

Idadi kubwa ya wananchi hujipatia riziki zao kutokana na kufanya biashara, wakati huo huo Serikali nayo hutoza kodi kwa kila biashara inayofanywa, na sehemu kubwa ya mapato ya serikali hutokana na kodi mbalimbali zikiwemo za wafanyabiashara.

Ni dhahiri kwamba kutokana na uzinduzi huo, mfumo huu sasa umewarahizishia usajili wafanyabiashara, na wengi wao wataamua kujisajili kisheria ili kuepukana na kufanya biashara bila kusajiliwa suala ambalo ni kinyume na sheria za nchi.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), Frank Kanyusi, alisema mfumo huo pia utapunguza vitendo vya rushwa vinavyowahusisha wafanyabiashara na watendaji wa Brela.

Kwa mfumo huu, tunaamini kuwa urasimu utakaokuwa umepungua utawezesha TRA na TIC kutopata usumbufu wa kumfuata mfanyabiashara tena, badala yake mfanyabiashara atalipa stahiki zote kwa mara moja na wao wataweza kugawana.

Wakati wa uzinduzi wa mfumo huo, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alisema TNBC ilifanya mkutano ili kujadili utekelezaji wa maazimio ya kuwashirikisha wananchi kwenye mambo ya kiuchumi, kuboresha mazingira ya biashara na kuangalia namna ya kukuza utalii.
Balozi Sefue alisema mkutano huo ulizingatia namna ya kuunganisha taasisi zote zinazohudumia wafanyabiashara ili kuwaondolea usumbufu wa aina yoyote.

Ni imani yetu kuwa hatua hizo, za kuwaondolea usumbufu wafanyabiashara kupata leseni zao bila urasimu, itakuwa chachu kubwa kwa walengwa wengine kujisajili kwa wingi na kufanya biashara kwa uhuru bila kukwepa kwepa mamlaka husika kama ilivyokuwa huko nyuma.

Ni dhahiri kwamba ili serikali itekeleze kwa ufanisi malengo na mipango ya maendeleo, ni lazima ikusanye kodi kutoka vyanzo mbalimbali, wafanyabiashara ni wadau wakubwa wa kuiwezesha serikali kiuchumi kupitia kodi zao.

Tunaipongeza serikali kwa hatua hiyo muhimu ya maboresho ya  uchumi na maendeleo ya wafanyabiashara nchini, tunaamini kuwa kutakuwepo na mwitikio mkubwa kwa wafanyabiashara kujisajili na kufanya malipo yao kwa njia ya dijitali badala ya usumbufu wa kufuatilia huko Brela.

Katibu Mkuu wa TNBC, Raymond Mbilinyi pia alisema yapo mafanikio makubwa ambayo yatarahisisha mazingira ya kufanya biashara nchini, aliyataja kuwa ni pamoja na kitengo cha kushughulikia uwekezaji wa wazawa.

Mbilinyi alisema kitengo hicho kinatarajiwa kuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, ambapo eneo jingine alisema ni namna ya kuainisha sheria ili iwe rahisi kwa mfanyabiashara kujua ni ipi itamsaidia kufanya biashara kwa faida.

Mfumo huu wa usajili wa kampuni kwa kutumia mtandao umebuniwa na kutengenezwa na vijana wa Tanzania kwa kutumia mapato ya ndani.

Tunaamini taasisi nyingine nchini zitafuata mfano wa ubunifu uliofanywa na vijana hao waliotumia rasilimali za ndani badala ya kutegemea misaada ya wahisani wa kutoka nje.
 
CHANZO: NIPASHE JANA JUMAPILI

Daily Reading for Monday, October 5th, 2015

Reading 1, Jonah 1:1--2:1, 11 1 The word of Yahweh was addressed to Jonah son of Amittai:
2 'Up!' he said, 'Go to Nineveh, the great city, and proclaim to them that their wickedness has forced itself upon me.'
3 Jonah set about running away from Yahweh, and going to Tarshish. He went down to Jaffa and found a ship bound for Tarshish; he paid his fare and boarded it, to go with them to Tarshish, to get away from Yahweh.
4 But Yahweh threw a hurricane at the sea, and there was such a great storm at sea that the ship threatened to break up.
5 The sailors took fright, and each of them called on his own god, and to lighten the ship they threw the cargo overboard. Jonah, however, had gone below, had lain down in the hold and was fast asleep,
6 when the boatswain went up to him and said, 'What do you mean by sleeping? Get up! Call on your god! Perhaps he will spare us a thought and not leave us to die.'
7 Then they said to each other, 'Come on, let us draw lots to find out who is to blame for bringing us this bad luck.' So they cast lots, and the lot pointed to Jonah.
8 Then they said to him, 'Tell us, what is your business? Where do you come from? What is your country? What is your nationality?'
9 He replied, 'I am a Hebrew, and I worship Yahweh, God of Heaven, who made both sea and dry land.'
10 The sailors were seized with terror at this and said, 'Why ever did you do this?' since they knew that he was trying to escape from Yahweh, because he had told them so.
11 They then said, 'What are we to do with you, to make the sea calm down for us?' For the sea was growing rougher and rougher.
12 He replied, 'Take me and throw me into the sea, and then it will calm down for you. I know it is my fault that this great storm has struck you.'
13 The sailors rowed hard in an effort to reach the shore, but in vain, since the sea was growing rougher and rougher.
14 So at last they called on Yahweh and said, 'O, Yahweh, do not let us perish for the sake of this man's life, and do not hold us responsible for causing an innocent man's death; for you, Yahweh, have acted as you saw fit.'
15 And taking hold of Jonah they threw him into the sea; and the sea stopped raging.
16 At this, the men were seized with dread of Yahweh; they offered a sacrifice to Yahweh and made vows to him.
1 Now Yahweh ordained that a great fish should swallow Jonah; and Jonah remained in the belly of the fish for three days and three nights.
11 Yahweh spoke to the fish, which then vomited Jonah onto the dry land.

Responsorial Psalm, Psalms 2:2, 3, 4, 5, 8

2 Kings of the earth take up position, princes plot together against Yahweh and his anointed,
3 'Now let us break their fetters! Now let us throw off their bonds!'
4 He who is enthroned in the heavens laughs, Yahweh makes a mockery of them,
5 then in his anger rebukes them, in his rage he strikes them with terror.
8 Ask of me, and I shall give you the nations as your birthright, the whole wide world as your possession.

Gospel, Luke 10:25-37

25 And now a lawyer stood up and, to test him, asked, 'Master, what must I do to inherit eternal life?'
26 He said to him, 'What is written in the Law? What is your reading of it?'
27 He replied, 'You must love the Lord your God with all your heart, with all your soul, with all your strength, and with all your mind, and your neighbour as yourself.'
28 Jesus said to him, 'You have answered right, do this and life is yours.'
29 But the man was anxious to justify himself and said to Jesus, 'And who is my neighbour?'
30 In answer Jesus said, 'A man was once on his way down from Jerusalem to Jericho and fell into the hands of bandits; they stripped him, beat him and then made off, leaving him half dead.
31 Now a priest happened to be travelling down the same road, but when he saw the man, he passed by on the other side.
32 In the same way a Levite who came to the place saw him, and passed by on the other side.
33 But a Samaritan traveller who came on him was moved with compassion when he saw him.
34 He went up to him and bandaged his wounds, pouring oil and wine on them. He then lifted him onto his own mount and took him to an inn and looked after him.
35 Next day, he took out two denarii and handed them to the innkeeper and said, "Look after him, and on my way back I will make good any extra expense you have."
36 Which of these three, do you think, proved himself a neighbour to the man who fell into the bandits' hands?'
37 He replied, 'The one who showed pity towards him.' Jesus said to him, 'Go, and do the same yourself.'

Prayer of the Day for Monday, October 5, 2015

Canticle of Brother Sun and Sister Moon of St. Francis of Assisi Most High, all-powerful, all-good Lord, All praise is Yours, all glory, all honour and all blessings.

To you alone, Most High, do they belong, and no mortal lips are worthy to pronounce Your Name.

Praised be You my Lord with all Your creatures,
especially Sir Brother Sun,
Who is the day through whom You give us light.
And he is beautiful and radiant with great splendour,
Of You Most High, he bears the likeness.

Praised be You, my Lord, through Sister Moon and the stars,
In the heavens you have made them bright, precious and fair.

Praised be You, my Lord, through Brothers Wind and Air,
And fair and stormy, all weather's moods,
by which You cherish all that You have made.

Praised be You my Lord through Sister Water,
So useful, humble, precious and pure.

Praised be You my Lord through Brother Fire,
through whom You light the night and he is beautiful and playful and robust and strong.

Praised be You my Lord through our Sister,
Mother Earth
who sustains and governs us,
producing varied fruits with coloured flowers and herbs.
Praise be You my Lord through those who grant pardon for love of You and bear sickness and trial.

Blessed are those who endure in peace, By You Most High, they will be crowned.

Praised be You, my Lord through Sister Death,
from whom no-one living can escape. Woe to those who die in mortal sin! Blessed are they She finds doing Your Will.

No second death can do them harm. Praise and bless my Lord and give Him thanks,
And serve Him with great humility.

St. Faustina Kowalska

Short Cuts
Image of St. Faustina Kowalska

Facts

Feastday: October 5
Birth: 1905
Death: 1938
Beatified By: Pope John Paul II
Canonized By: Pope John Paul II

Saint Faustina was born Helena Kowalska in a small village west of Lodz, Poland on August 25, 1905. She was the third of ten children. When she was almost twenty, she entered the Congregation of the Sisters of Our Lady of Mercy, whose members devote themselves to the care and education of troubled young women. The following year she received her religious habit and was given the name Sister Maria Faustina, to which she added, "of the Most Blessed Sacrament", as was permitted by her congregation's custom. In the 1930's, Sister Faustina received from the Lord a message of mercy that she was told to spread throughout the world. She was asked to become the apostle and secretary of God's mercy, a model of how to be merciful to others, and an instrument for reemphasizing God's plan of mercy for the world. It was not a glamorous prospect.
Her entire life, in imitation of Christ's, was to be a sacrifice - a life lived for others. At the Divine Lord's request, she willingly offered her personal sufferings in union with Him to atone for the sins of others; in her daily life she was to become a doer of mercy, bringing joy and peace to others, and by writing about God's mercy, she was to encourage others to trust in Him and thus prepare the world for His coming again. Her special devotion to Mary Immaculate and to the sacraments of Eucharist and Reconciliation gave her the strength to bear all her sufferings as an offering to God on behalf of the Church and those in special need, especially great sinners and the dying.
She wrote and suffered in secret, with only her spiritual director and some of her superiors aware that anything special was taking place in her life. After her death from tuberculosis in 1938, even her closest associates were amazed as they began to discover what great sufferings and deep mystical experiences had been given to this Sister of theirs, who had always been so cheerful and humble. She had taken deeply into her heart, God's gospel command to "be merciful even as your heavenly Father is merciful" as well as her confessor's directive that she should act in such a way that everyone who came in contact with her would go away joyful. The message of mercy that Sister Faustina received is now being spread throughout the world; her diary, Divine Mercy in my Soul, has become the handbook for devotion to the Divine Mercy.

Homilia ya Papa katika ufunguzi wa Sinodi ya Kawaida ya Maaskofu

Papa Francis na Mababa wa Sinodi wakiwa katika adhimisho la ufunguzi wa Sinodi - AP
Jumapili  Oktoba 4 , 2015 Papa Francis alifungua Sinodi ya Familia kwa Ibada ya misa takatifu katika Basilika ya Mtakatifu Petro.Katika Homelia yake alisema:Tukipendana , Mungu hukaa ndani yetu na pendo lake limekamilika ndani yatu. Baba mtakatifu ameanza akisema maneno ya Mungu katika Domenica hiyo utafikiri ilichaguliwa kwa lengo la ufunguzi wa Sinodi  ya Maaskofu aliyoifungua yeye rasmi.
Baba Mtakatifu alielezea juu ya upweke wa Adamu kwenye Bustani ya Eden, baada ya kupewa madaraka ya viumbe wengine, lakini bado alijisikia upekwe” nimtafutie wa kumsaidia anayefanana naye.(Mw 2,20) Baba mtakatifu aliorodhesha baadhi ya mambo yanayoletwa na upweke akisema kwamba, Katika dunia ya leo bado upweke ni tatizo kubwa linalowasumbua wanaume na wanawake, ukifikiria wazee wanao achwa na watoto wao , wajane wote, na watu wengine wanaume na wanawake wanaotengana katika ndoa zao, ni watu wengi wanaojisikia upweke, hawatambuliwi na wala kusikilizwa, kama vile, wahamiaji  na wakimbizi waliokimbia vita na mateso, vijana wengi waathirika wa utamuduni wa kutumia hovyo, na kutupa hovyo, na pia utamaduni  wa ubaguzi.
Leo watu wanaishi katika utandawazi , wengi wanaonekana  wanaishi katika nyumba za kifahali na kwenye magorofa marefu  lakini ndani ya nyumba zao hakuna joto la familia.Wanayo mipango mingi lakini hawana muda wa kuonja kile walichopata ,bado kuna haina nyingi za mambo ya anasa, lakini daima ndani ya roho zao ni utupu, mambo ya kijifurahisha ni mengi lakini ueondo ni mdogo , huru ni mwingi, lakini kujitegemea ni kidogo, bado kuna ongezeko kubwa la watu wanaojisikia upweke, lakini hata hivyo bado kuna hata wale wanaozidi kuwa wabinafsi na ufitina, wakifanya vurugu ya kujiaharibu, na pia kuwa watumwa na wa anasa , na pia wa Mungu fedha.Leo hii bado tunaishi kwa namna flani kama vile uzoefu wa Adamu, ambapo upweke una nguvu  sana , familia ikiwa ni picha , kwasababu bado hakuna uvumilivu wa kuendeleza upendo imara na kizazi cha upendo, kama walivyokuwa wametoa ahadi “katika afya  na magonjwa, katka utajiri  na katika umasikini, katika wema na ubaya.”
Upendo wa kudumu, mwaminifu , wenye uangalifu na imara na wenye rutuba, unazidi kudhiakiwa na kuonekana umepitwa na wakati,kwani inaonekana kwamba jamii zaidi ya kisasa ndiyo iliyo na asilimia kubwa ya kuwa na watoto wachache, na asilimia kubwa ya utoaji wa mimba , ya  talaka , kujiua na uchafuzi wa mazingira na kijamii.Pia zinaonyesha kuwa Mungu ameumba binadamu kuishi katika huzuni au kuwa peke yake, lakini kwa furaha, kwa kushiriki safari yake na mtu mwingine kwamba ni nyongeza; uzoefu uzoefu wa ajabu wa upendo: yaani, kwa kupenda na kupendwa; na kuona upendo wake uzazi katika watoto, kama zaburi anasema leo (sawa na Zaburi 128).
UPENDO KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE: Maneno hayo yanaonyesha kwamba ni  jinsi gani moyo wa mtu unapata furaha  kama wa yule mtu anayemfanana na kwenda sambamba nayempenda na pia kumtoa katika upweke. Vilvile inaonyesha ya kamaba Mungu hakuumba  binadamu aishi kwa huzuni  au aishi peke yak , bali kwaajili ya furaha , kushirikiana njia ya maisha  na mtu mwengine amabayo ni nyongeza, wali waishi uzoefu wa upendo wa ajabu  yaani kupenda na kupenswa:  na kuona upendo wake katka matunda ya watoto, ilivyokuwa katika  zaburi (Zab 128)
Na hiyo ndiyo ndoto za Mungu kwa kiumbe wake , kuona ya kwamba  unakamilika muungano wa uependo kati ya mume na mke, yaani furaha katika njia ya kawaida , na kutoa uzazi kwa pande zote mbili: na hayo ni sawasa na mfano wa muhtasari wa injili ya Yesu iliyosomwa kwa maneno haya,"Tangu mwanzo wa uumbaji (Mungu) aliwaumba mume na mke: kwasababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana mume na mke nao watakuwa mwili mmoja Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja " (Marko 10.6-8; Mwa 1:27; 2:24).
Papa aliendelea kusema : mbele ya swali aliloulizwa la kikejeli , pengine lilikuwa mtego kufanya aonekane hasiyefaha katika  umati uliokuwa ukimfuata, na ya kwamba hao walikuwa wanafanya talaka  kana kwamba haifahamiki vizuri katika torati, Lakini Yesu aliwajibu ukweli ambao  hawakutegemea; akiwarudisha juu ya asili ya uumbaji , ili kutufundisha  ya kwamba Mungu anabariki upendo wa kibinadamu, kwani ni yeye anayeunganisha mioyo ya mume na mke wanaopendana na kuwaunganisha katika umoja usiogawanyika. Kwa maana hiyo lengo la maisha ya ndoa siyo tu kuishi pamoja milele, bali ni kupendana  milele! Na hivyo basi Yesu anathibitisha  utaratibu wa awali na mahali unapotokea.
FAMILIA: Binadamu basi asitenganishe alichokiuganisha Mungu, (Marko 10.9). Papa aliwashauri waumini wote kuondokana na aina za ubinafsi , na pia sheria ambazo zinaficha ubinafsi mdogomdogo na hofu ambayo inaambatana na wanandoa , pia ya jinsia ya kibinadamu katika mpango wa Mungu. Papa anasema kwa hayo yote ni kwa nji ya mwanga wa kifo cha Yesu msalabani , utaweza kuelewaka upendo wa bure wa wanandoa hata kufa.Kwa Mungu ndoa siyo kipeo cha hali nzuri cha ujana , bali ni ndoto amabayo viumbe wake wataondokana na upweke ki ukweli kuna ofu katika mioyo ya binadamu  ya kujongea katika mpango huo