Week Hot newz

Blessing of a New House


Translated by Most Reverend J. H. Schlarman Bishop of Peoria

Mandela hoi awezi kuongea!

Picha ya kale ya Nelson Mandela na Winnie kabla ya kuachana
Mke wa zamani wa Nelson Mandela, amesema rais huyo wa zamani awezi kuzungumza, lakini anatumia uso kuwasiliana na watu.
Winnie Madikizela-Mandela alieleza kuwa Bwana Mandela, mwenye umri wa miaka 95, ni mgonjwa kweli kweli ,lakini alikanusha tetesi kuwa mashini ndio inamsaidia kupumua.
Mwezi wa Septemba Bwana Mandela alirudi nyumbani baada ya kulazwa hospitali mjini Pretoria kwa karibu miezi mitatu akitibiwa ugonjwa wa mapafu.
Serikali ya Afrika Kusini imesema hali yake bado ni ya kutia wasi-wasi na wakati mwengine hubadilika.

Samatta wawania tuzo Mchezaji bora wa Afrika

Mbwana Samatta  na Victor Wanyama (kulia) 
Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limetangaza majina ya wachezaji wa kiafrika watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2013 na Mchezaji bora wa Afrika anayechezea vilabu vya ndani ya Afrika mwaka 2013.
Katika majina hayo yapo majina mawili ya wachezaji wanaotoka Afrika Mashariki ambao ni Victor Wanyama raia wa Kenya anachezea

GARAMA ZA MATIBABU KUWA JUU: Bacteria sugu ni tishio kubwa


Dawa za antibiotics zinazouzwa Afghanistan
Tume ya wataalamu wa afya imeonya kuwa aina sugu ya vidudu vya bacteria ni moja kati ya tishio kubwa kabisa katika matibabu.
Katika taarifa iliyoandikwa kwenye jarida la kisayansi, The Lancet, wataalamu wanatoa wito mataifa yashirikiane ili kupambana na tishio hilo.

Taasisi ya Kiislamu yachangia damu salama

TAASISI ya Bilal Muslim Mission of Tanzania imewashauri Watanzania kujitolea damu salama ili kuokoa maisha ya wengi wanaohitaji damu hospitalini.
Ombi hilo limetolewa juzi na Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Sibtain Meghji, alipozungumza wakati wa utoaji damu salama, tukio lililofadhiliwa na taasisi hiyo jijini Mwanza.

NDOA: habithi katika Uislamu

Mzee wa miaka 80 alirudi nyumbani kutoka msikitini, akabisha mlango wa nyumba yake lakini hakufunguliwa, akasimama kwa mda mpaka akazirai na kuanguka chini, Mke wake akaona mume wake amechelewa, akafunguwa mlango kwenda kumtafuta, akampata amezirai mbele ya mlango, akamwagia maji mpaka akapata fahamu, mke akamuomba msamaha mume wake kwa kuchelewa kumfungulia mlango kwa kuwa hakusikia mlango ukibishwa na akaona yeye ndie sababu ya mumewe kuzirai..
Mume akamwambia mke wake sikuzirai kwa sababu hiyo bali niliposimama mbele ya mlango wangu na nikaona umefungwa, nikawa nafikiria jee kama ningekuwa nimesimama mbele ya Mlango wa Allah subhanahu wata'ala na Allah subhanahu wata'ala hakunifungulia ningekuwaje?
Katika ile hali ya kufikiria hivyo nikajipata sina fahamu;);););)

St. Hugh of Lincoln

St. Hugh of Lincoln
Hugh of Lincoln was the son of William, Lord of Avalon. He was born at Avalon Castle in Burgundy and was raised and educated at a convent at Villard-Benoit after his mother died when he was eight. He was professed at fifteen, ordained a deacon at nineteen, and was made prior of a monastery at Saint-Maxim. While visiting the Grande Chartreuse with his prior in 1160. It was then he decided to become a Carthusian there and was ordained. After ten years, he was named procurator and in 1175 became Abbot of the first Carthusian monastery in England. This had been built by King Henry II as part of his penance for the murder of Thomas Becket.
His reputation for holiness and sanctity spread all over England and attracted many to the monastery. He admonished Henry for keeping Sees vacant to enrich the royal coffers. Income from the vacant Sees went to the royal treasury. He was then named bishop of the eighteen year old vacant See of Lincoln in 1186 - a post he accepted only when ordered to do so by the

Vijana mnapaswa kuwa ni Wamissionari wa Injili, kila siku na kila mahali!

Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii, kwa namna ya pekee, leo anapenda kuwaalika vijana kuwa ni Wamissionari wa Injili, kila siku na kila sehemu.

Itakumbukwa kwamba, Baba Mtakatifu Francisko amechagua tema zitakazoongoza Maadhimisho ya Siku ya za Vijana Duniani kwa kipindi cha Miaka mitatu,