
Kadhalika, inakadiriwa pia kuwa zaidi ya watu 35,000 hupata saratani hiyo kila mwaka na zaidi ya watu 27,000 hupoteza maisha huku ripoti ikionyesha mwaka 2010 peke yake, wanawake 6,000 waligundulika kuwa na saratani ya mlango wa kizazi na 4,000 kati yao walikufa kutokana na maradhi hayo.
Rais Kikwete aliyasema hayo wakati akizungumza