Week Hot newz

Aliyenyanyasa kingono mayatima Kenya afungwa

M!mishenari mmoja wa zamani kutoka nchini Marekani amehukumiwa miaka 40 jela kwa kuwanyanyasa kingono watoto mayatima katika nyumba moja nchini Kenya.Matthew Lane Durham mwenye umri wa miaka 21,alitekeleza ''kitendo hicho kiovu kwa watoto wasioweza kujitetea'',mahakama ya Marekani ilisema.