Week Hot newz

Mtunis:Kufungia Mwaka 2013 na Who`s Bad

Mtayarishaji na Muigizaji wa filamu za kiswahili nchini Tanzania Nice Mohamed ‘Mtunis’pichani amesema kwamba filamu yake ya Who’s Bad itakuwa kazi yake ya kufungia mwaka  2013 kwa kuzima kazi nyingine za filamu zilizoingia pamoja na filamu hiyo ambayo inafanya vizuri sokoni baada ya kuingia mitaani hivi karibuni.

“Kama ambavyo wengi wamenizoea ninapotoa kazi inakuwa ni bora na lazima ikimbize sokoni, sinema yangu ya Who’s Bad itafunga mwaka kama kazi bora nakuwa makini sana katika utengenezaji wa filamu na ndio kilichofanyika katika filamu hiyo wasanii wamekamua sana na kuonyesho uwezo wa hali ya juu,”anasema Nice.

Filamu hiyo imeshirikisha wasanii kama Patcho Mwamba na washiriki wengine wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu, Mtunis amekuwa akifanya vizuri katika tasnia ya filamu Bongo kazi alizofanya ni kama Bar mead, Who’s Bad,Clinic Love na kusambazwa na kampuni ya Steps Entertainment.


 

Mandela hoi Kitandani



Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela
Rais wa kwanza mwaafrika wa Afrika Kusini, Nelson Mandela anaendelea kupambana na ugonjwa akiwa bado kitandani, binti yake Makaziwe Mandela amesema.
Bi Makaziwe ameliambia Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini, SABC kuwa mpinzani huyo wa siasa za ubaguzi wa rangi, "bado yupo nasi, imara, na anatia moyo".
"Hata kwa kukosa neno zuri zaidi... Akiwa bado kitandani anatufundisha somo la subira, upendo, uvumilivu," amesema, Makaziwe.

Special Introductory Fare from Dar es salaam to Morogoro



ONE WAY Tshs 99,000 (all inclusive)
RETURN Tshs 160,000 (all inclusive)

DAILY DEPARTURES

Book now to get the special fare !!

For more information, calls us on 0783 233334

Or Email to auric@auricair.com

"ENJOY THE WORLD OF FLYING - SAFARI"
Photo: Special Introductory Fare from Dar es salaam to Morogoro

ONE WAY  Tshs 99,000 (all inclusive)
RETURN  Tshs 160,000 (all inclusive)

DAILY DEPARTURES

Book now to get the special fare !!

For more information, calls us on 0783 233334

Or Email to auric@auricair.com

"ENJOY THE WORLD OF FLYING - SAFARI"

Mombasa wamsubiri Diamond

Mashabiki wa wapenzi wa mziki kizazi kipya wa jijini Mombasa jumamosi hiii tarehe 7,Desemba,2013 wanamsubiria Diamond Platinium pichani kushoto , ambaya atakae fanya shoo ya kufa mtu katika ukumbi wa Big Tree Hotel. Siku hiyo shoo itakuwa siya kukosa kwa sababu msanii Diamond Platinium kutoka Tanzania atawapa masongi ya ukweli kama `my number one`,`nataka kulewa`,`mbagala` na nyinginezo nyingi hhii si ya kukosa wana Mombasa

Waziri wa Kilimo wa ashinda tuzo ya Forbes


Akinwumi Adesina, waziri wa kilimo Nigeria
Waziri wa Kilimo wa Nigeria Akinwumi Adesina ametangazwa na jarida la Forbes Afrika kuwa mshindi wa mwaka kutokana na mageuzi yake katika sekta ya kilimo.
"Ni mtu ambaye yuko katika mwelekeo wa kuisaidia Afrika kujilisha," amesema mhariri wa Forbes Africa,Chris Bishop.
Bwana Adesina amesema anataka kuwasaidia watu kutajirika kupitia kilimo.

Dr. Migiro ateuliwa kuwa Mbunge!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dokta Asha-Rose Migiro, aliyekuwa Naibu Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa kuwa Mbunge.

Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, Jumanne, Desemba 3, 2013, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dokta. Florens Turuka inasema kuwa uteuzi huo umeanza Desemba 2, 2013. Dr. Asha-Rose Migiro ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa katika Chama cha Mapinduzi.

'Kura ya Ballon d'Or ngumu ngumu zaidi'

Michel Platini


Rais wa Uefa Michel Platini amesema shughuli ya kuchagua nani kati ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Franck Ribery atatunukiwa Ballon d'Or "ndiyo ngumu zaidi katika historia ya tuzo hiyo."

Katika mahojianio na gazeti la michezo la kila siku Uhispania la AS, mshindi huyo mara tatu wa Ballon d'Or winner kutoka Ufaransa alifanyia mzaha uamuzi wa Fifa wa kusongesha siku ya mwisho ya kupiga kura kwa wiki mbili hadi Novemba 29

Alisema “hili lilifanyika ili kuingiana na Ureno kufika fainali za Kombe la Dunia kupitia mabao matatu ya Ronaldo."
Platini anasema Andres Iniesta au Xavi Hernandez wangemshinda Messi kwa tuzo hiyo ya 2010 baada ya kusaidia Uhispania kushinda Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza kabisa nchini Afrika Kusini.
Mshindi wa Ballon d'Or will atatangazwa Januari 13.

GOtv Cecafa Cup:Tanzania marches to quarters

Tanzania's mainland national team The Kilimanjaro Stars have sealed their place in the quarterfinals of the Cecafa Senior Challenge Cup following their 1-0 victory over Burundi to a match played at the Afraha Stadium in Nakuru. TP Mazembe duo of Mbwana Samatta and Thomas Ulimwengu marked their first appearances in the tournament following their return from club duties.
In form striker Mbwana Samatta connected a well curled cross from Mrisho Ngassa with a solid header to score the only goal of the game in the eighth minute.
With this result, Stars finish with a total of seven points from two wins and a draw as they march on to the quarters.


Line ups:
Kilimanjaro Stars: Ivo Mapunda, Kevin Yondani (c), Erasto Nyoni, Himid Mao, Said Moradi, Frank Domayo, Salum Abubakar 'Sureboy', Mrisho Ngassa, Thomas Ulimwengu, Amri Kiemba, Mbwana Samatta.
Burundi: Arthur Arakaza, Hassan Hakizimana(c), Frederic Nsabiyumva, Rashid Harerimana, Yussuf Ndikumana, Christopher Nduwarugira, Gael Duhayinoavyi, Celestin Habonimana, Shaban Hussein, Jean