Week Hot newz

St. Teresa of Avila - Doctor of the Church



St. Teresa of Avila - Doctor of the Church
Feastday: October 15
Patron of Headache sufferers, Spanish Catholic Writers
1515 - 1582

Less than twenty years before Teresa was born in 1515, Columbus opened up the Western Hemisphere to European colonization. Two years after she was born, Luther started the Protestant Reformation. Out of all of this change came Teresa pointing the way from outer turmoil to inner peace.
Teresa's father was rigidly honest and pious, but he may have carried his strictness to extremes. Teresa's mother loved romance novels but because her husband objected to these fanciful books, she hid the books from him. This put Teresa in the middle -- especially since she liked the romances too. Her father told her never to lie but her mother told her not to tell her father. Later she said she was always afraid that no matter what she did she was going to do everything wrong.
When she was five years old she convinced her older brother that they should, as she says in her Life, "go off to the land of the Moors and beg them, out of love of God, to cut off our heads there." They got as far as the road from the city before an uncle found them and brought them back. Some people have used this story as an early example of sanctity, but this author think it's better used as an early example of her ability to stir up trouble.
After this incident she led a fairly ordinary life, though she was convinced that she was a horrible sinner. As a teenager, she cared only about boys and clothes

Mchango wa Kanisa Katoliki katika sekta ya elimu unaweza sasa kupatikana kwenye tovuti!

Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki limezindua tovuti yake inayotoa habari muhimu kuhusu mchango wa Kanisa Katoliki katika sekta ya elimu ya juu, sehemu mbali mbali duniani. Hii ni sehemu ya utekelezaji wa Itifaki iliyoridhiwa kati ya Vatican na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa, UNESCO katika masuala ya sekta ya elimu kimataifa kwa kutambua na kuthamini vyeti mbali mbali vinavyotolewa na Vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu zinazoongozwa na kumilikiwa na Kanisa Katoliki.

Hii ni fursa kwa Vatican kuendelea kuchangia kwa kina na mapana katika sekta ya elimu kwa kutoa habari zinazoonesha mchango wa Kanisa ili kushirikishana na nchi nyingine ambazo tayari zimekwisharidhia Itifaki hii pamoja na UNESCO. Tovuti ya Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki kwa sasa lina sehemu kuu mbili: Sehemu ya kwanza inazungumzia Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki na majukumu yake kwa ujumla.

Sehemu ya pili imesheheni hati na nyaraka mbali mbali zinazoweza kufanyiwa rejea na wasomi kuhusu: Hekima ya Kikristo na Hati ya Kanisa kuhusu Vyuo Vikuu vya Kikatoliki. Tovuti hii inaonesha uhusiano wa kimataifa kati ya Baraza la Kipapa la Taasisi mbali mbali katika sekta ya elimu. Watumiaji wa tovuti hii wanaweza pia kupata takwimu na habari kutoka katika "Pango hifadhi ya Nyaraka za Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki". Ukitaka kufaidi zaidi unaweza kutembelea Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki kwa anuani ifuatayo: www.educatio.va


Miili 8 yapatikana mgodini A. Kusini


Mgodi wa Doornkop uko Magharibi mwa Johannesburg.
Maafisa wa shughuli ya uokoaji nchini Afrika Kusini wanasema kuwa wamepata miili 8 ndani ya mgodi walimokuwa wamekwama wachimba migodi hao baada ya moto kuzuka na kuangukiwa na mawe wakiwa ndani ya mgodi huo.
Kwa mujibu wa serikali, Mfanyakazi mmoja angali hajapatikana katika mgodi wa Doornkop, Magharibi mwa Johannesburg.
Awali wachimba migodi wanane walipatikana wakiwa hai katika chumba kimoja chini ya ardhi ambak