Imeelezwa kuwa kuna hatari ya familia kwa nchi
zinazoendelea ikiwamo Tanzania kufikia ukomo wa ustawi na furaha na
pamoja na kujenga taifa lisilo na uhai wa nguvu kazi na lenye maadili
kutokana na ndoa za jinsia moja zinazoshika kasi katika mataifa ya Ulaya
na Amerika.
Padri wa Kanisa Katoliki nchini amesema kuwapo kwa mazingira hayo matokeo yake ni watu kukoma kuzaa watoto na kukosa familia.