Week Hot newz

Madiba, kwa heri! Umekuwa ni daraja la upatanisho!


Mwili wa Marehemu Nelson Mandela, Siku ya Jumatano tarehe 11 Desemba 2013 umewasili mjini Pretoria ambako utakaa kwa muda wa siku tatu, ili kutoa nafasi kwa wananchi wa Afrika ya Kusini kutoka heshima zao za mwisho. Magari ya Polisi yaliusindikiza Mwili wa Tata Madiba kutoka kwenye Hospitali ya Kijeshi.

Wezi wavunja nyumba ya Askofu Tutu!


Desmond Tutu
Wezi wamevunja na kuingia nyumbani kwa Askofu mstaafu Desmond Tutu
Polisi wamesema wizi huo ulifanyika wakati bwana Tutu akiwa katika ibada ya Nelson Mandela Mjini Johannesberg.
Inaarifiwa Tutu aliibiwa vitu vyake wakati akiwa anahudhuria ibada maalum ya kumuaga Hayati Nelson Mandela siku ya Jumanne.
Aidha wameelezea kuwa uvamizi ulifanyika nyumbani kwake mjini Cape Town Ahamisi jioni baada ya kutoa hotuba katika ibada ya Mandela siku hiyo.
Ibada hiyo ilifanyika katika uwanja wa FNB mtaani Soweto.
Wizi na uvamizi wa nyumba za watu ni jambo la kawaida nchini Afrika Kusini ambako visa vya uhalifu viko juu sana.

Heshima za mwisho kwa mwili wa Mandela


Mwili wa Mandela ukisindikizwa na polisi Afrika Kusini
Viongozi mbali mbali pamoja na raia wa Afrika Kusini wanaendelea kutoa heshma za mwisho kwenye mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini Marehemu Nelson Mandela ambao umelazwa kwenye ikulu ya Afrika Kusini mji Mkuu wa Pretoria, ambapo utalala hapo kwa siku tatu.
Mwili ulichukuliwa katika msafara kutoka chumba cha maiti cha hosptali hadi kwenye jengo la Muungano.
Msafara wenye jeneza la Marehemu uliondoka mjini katika Hosptali ya jeshi muda mfupi siku ya jumatano. Jeneza lilibebwa kwenye gari maalum na kufunikwa bendera ya Afrika Kusini.
Wananchi walijipanga kando kando ya barabara lilipopitishwa jeneza kama ishara ya kutoa heshma za mwisho kwa mwili wa marehemu.
Msafara ulipita katika mitaa huku baadhi ya raia wakikimbia pembeni kwenye mstari wa askari wa

Kili Stars yafa, lakini kiwango


Picha kushoto ni Mshambuliaji wa Tanzania Bara, Mbwana Samata akiwatoka mabeki wa Kenya, Joackins Atudo (kulia) na Aboud Omar kwenye Uwanja wa Nyayo jana. Kili Stars ililala 1-0.

Licha ya timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) kumiliki mpira kwa dakika zote 90, imeshindwa kutinga fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya jana kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya (Harambee Stars).

Drogba, Eboue salute to Madiba sparks row

ANKARA - Turkey's sports minister lashed out on Monday at moves by the football authorities to punish two top Ivorian club players for paying homage to Nelson Mandela.
 
Emmanuel Eboue

Didier Drogba and Emmanuel Eboue have been threatened with disciplinary action by the Turkish Football Federation for violating a ban on wearing political slogans on T-shirts, triggering outrage on Twitter.
Turkish Sports Minister Suat Kilic called on the federation to review its decision against the two star players with Istanbul giants Galatasaray.
"I don't find it a healthy choice in terms of Turkey's image abroad and the two footballers' [freedom of] expression," he said.
Drogba removed his club shirt after a match at the weekend against SB Elazigspor to reveal a T-shirt that read "Thank You Madiba", using Mandela's clan name.
Teammate Eboue also honoured the South African anti-apartheid hero who died on Thursday with a T-shirt that said "Rest in Peace Nelson Mandela".

Obama scripts world farewell


"It is hard to eulogise any man... How much harder to do so for a giant of history, who moved a nation toward justice, and in the process moved billions around the world," Obama began, in a speech that placed Mandela in the pantheon of Mahatma Gandhi and Martin Luther King.


US President Barack Obama summed up the awed respect Nelson Mandela inspired around the world at a rain-drenched memorial in Soweto on Tuesday that hinted at the tension straining South African politics after his death last week.
"It is hard to eulogise any man... How much harder to do so for a giant of history, who moved a nation toward justice, and in the process moved billions around the world," Obama began, in a speech that placed Mandela in the pantheon of Mahatma Gandhi and Martin Luther King.

Mlango wa Bwana daima ni wazi na kutupatia tumaini



Hatupaswi kuhofia ukombozi wa Bwana , badala yake , ni kujiweka tayari kwa ajili ya ujio wake. Ni kuufungua mlango wa moyo na kumpokea kwa matumaini. Papa alieleza katika homilia yake wakati wa Ibada ya Misa, mapema asubuhi Jumanne, katika Kanisa dogo la Mtaktifu Marta hapa Vatican.

Papa alitafakari maneno ya somo la kwanza, kutoka Kitabu cha Nabii Isaya, ambamo Nabii Isaya anasema, "farijikeni enyi watu wangu, Bwana, yu karibu na watu wake, kuwatuliza ,na kuwapa amani". Papa ameeleza kazi hii ya kufariji, ina uwezo wa kubadili yote. Bwana, kweli ana uwezo wa kuviumba vyote upya .