
Maaskofu Katoliki wa Ufilipino, wametoa wito wa Novena, sala na fadhila, kwa waathirika na familia zilizopigwa vikali na maafa ya kimbunga kilichopita hivi karibuni na kuua mamia ya watu na kuharibu mali nyingi, zikiwemo nyumba.
Mosinyori Pedro Quitorio , Mkurugenzi wa vyombo vya habari katika Baraza la Maaskofu Katoliki ya Philippines , alisema fedha zitakazo tolewa wakati wa kipindi cha Novena , iliyoanza Jumanne 12 na