Week Hot newz

Braeking News: Al shaabab walimezima shambulizi la kuvizia la Marekani leo

Wenyeji wa eneo hilo wanasema waliamshwa na milio ya risasi na ndege za kivita zikitua na kuondoka

 Wapiganaji wa kundi la wanamgambo la Al shaabab walimezima shambulizi la kuvizia lililotekelezwa na makomando wa jeshi la Marekani usiku wa kuamkia leo.
Kwa mujibu wa Afisa mmoja wa ngazi ya juu jeshini ambaye hakutaka jina lake litajwe anasema kuwa shambulizi hilo lililotekelezwa na vikosi vya usalama la Marekani kwa ushirikiano na majeshi ya Somalia yalifanikishwa kwa kuruka kwa ndege za helikopta kwa kambi ya wapiganaji hao iliyoko Awdhegle, takriban kilomita 50 Kusini mwa Somalia.

Michezo: Samata kuiongoza Taifa Stars AFCON

Nahodha ni Mbwana Samatta (KRC Genk), 
 
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa ametangaza kikosi cha wa wachezaji 25 kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Chad.
Mechi hiyo imeratibiwa kusakatwa tarehe 23 Machi mjini Djamena.

Dunia" Atungwa mimba ya pacha na wanaume wawili!

Mke huyo wa mtu amejipata pabaya baada ya kugunduliwa kuwa alifanya mapenzi na mwaname wa kando aliyemdunga mimba 

 Mapacha wa kipekee wamezaliwa nchini Vietnam.najua unajiuliza mapacha si kawaida tu ?
La hasha .
Mapacha hawa imegunduliwa kuwa walitungwa na baba wawili tofauti !
Amini usiamini !