Baba
Mtakatifu Francisko , Jumapili iliyopita, baada ya sala ya Malaika wa
Bwana, alitoa ombi kwa watu wote, binafsi, Taasisi, Makampuni na
mamlaka, kujali mahangaiko na mateso ya watu wasiokuwa na makazi maalum
yaani wasiokuwa na nyumbani. Papa aliotoa ombi hili kwa niaba ya
familia zisizo na makazi , mbele ya mahujaji na wageni waliokuwa
wamekusanyika katika uwanja wa kanisa kuu la Mtakatifu Petro,Vatican.
Taarifa
inabaini Papa alitoa wito huo kwa kuhamasishwa na