Week Hot newz

Pope Francis and French President discuss shared concerns



(Vatican Radio) Pope Francis met with French President Frannçois Hollande on Friday morning to discuss shared concerns and the good relations that exist between France and the Holy See. Following the papal audience, the President also held talks with Secretary of State, Archbishop Pietro Parolin and with the Vatican’s ‘foreign minister’ or Secretary for Relations with States, Archbishop Dominique Mamberti.

A statement from the

Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya Tatu ya Kipindi cha Mwaka A wa Kanisa

Tupo pamoja tena nawe katika jiji la upendo wa Mungu, yaani Neno lake ambalo daima latupatia uzima na pia latufanya tuwe huru katika maisha yetu kama kweli tunaliishi na kulifuata kwa unyenyekevu. Ni Dominika ya III ya kipindi cha kawaida cha mwaka A, kipindi cha matumaini kama ambavyo chajionesha katika mavazi ya Misa Takatifu, yaani rangi ya kijani.

Masomo tunayoyatafakari tunayapata katika kitabu cha Isaya 9:1-4, 1Kor. 1:10-13,17 na Injili Mt. 4:12-23. Masomo haya yanatupa mwaliko wa kuona na kuupokea mwanga wa Kristu unaoanza