(Vatican
Radio) Pope Francis met with French President Frannçois Hollande on
Friday morning to discuss shared concerns and the good relations that
exist between France and the Holy See. Following the papal audience, the
President also held talks with Secretary of State, Archbishop Pietro
Parolin and with the Vatican’s ‘foreign minister’ or Secretary for
Relations with States, Archbishop Dominique Mamberti.
Tupo
pamoja tena nawe katika jiji la upendo wa Mungu, yaani Neno lake ambalo
daima latupatia uzima na pia latufanya tuwe huru katika maisha yetu
kama kweli tunaliishi na kulifuata kwa unyenyekevu. Ni Dominika ya III
ya kipindi cha kawaida cha mwaka A, kipindi cha matumaini kama ambavyo
chajionesha katika mavazi ya Misa Takatifu, yaani rangi ya kijani.
Masomo
tunayoyatafakari tunayapata katika kitabu cha Isaya 9:1-4, 1Kor.
1:10-13,17 na Injili Mt. 4:12-23. Masomo haya yanatupa mwaliko wa kuona
na kuupokea mwanga wa Kristu unaoanza