نشرت
مجلة لا
شيفيلتا
كاتوليكا يوم
أمس الجمعة نص
الحوار الذي
أقامه البابا
فرنسيس مع اتحاد
الرؤساء
العامين في
التاسع
والعشرين من تشرين
الثاني
نوفمبر
الماضي،
وأعلن الحبر الأعظم
في ختام هذا
اللقاء أن
العام 2015 سيكون
عام الحياة
المكرسة.
استغرق هذا
الحوار قرابة
الثلاث ساعات
وتمحور حول
أبرز
التحديات المطروحة
اليوم أمام
الحياة
الرهبانية
والكنيسة
بصورة عامة.
قال البابا إن
الرهبان
والراهبات
يتبعون الرب
بطريقة خاصة
ونبوية،
وينبغي
بالتالي أن
يكونوا رجالا
ونساء قادرين
على إيقاظ
العالم. وحض
على تفادي
التطرف
الأصولي والنظر
إلى الواقع
Week Hot newz
-
SIKU moja baada ya kifo cha Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela (95), mazishi yake yanatarajiwa kufanyika wiki m...
-
Baba Mtakatifu Francisko katika tafakari yake kwa Jumapili ya tatu ya Kipindi cha Majilio, anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi ...
-
Na Paskal Linda,Vatican. 19/12/2013 Baba Mtakatifu Francisko, Jumatano tarehe 18 Desemba 2013 amefanya mazungumzo na Papa ms...
-
Mpendwa mwana wa Mungu, leo tunasherehekea na kushangilia sherehe ya familia Takatifu. Masiha amezaliwa ndani ya familia hii....
-
Ndege iliyokuwa imetekwa Rubani msaidizi wa ndege ya abiria ya shir...
-
Na Dina Ismail, Dar es Salaam MSANII wa muziki wa asili nchini, Pascal linda maarufu kama Batarokota amewaomba mashabiki wa muziki nc...
Epifania ya Bwana: Dhahabu, Uvumba na Manemane! Kazi kwako!
Sikukuu ya leo inayo mafundisho ya maisha yanayoweza kumtosha kila mtu. Ukifaulu kutanguzana kidhati na wasafriri wanaotajwa katika sikukuu ya leo watakufikisha kwenye uhondo wa maisha. Wasafiri hao wanaitwa majusi. Wametokea mashariki ya mbali wakielekea Betlehemu. Wasafiri hao hawatajwi idadi wala majina kama tunavyosadikishwa kuwa walikuwa watatu. Tunaambiwa tu Kulikuwa majusi kutoka mashariki ya mbali.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)

