Week Hot newz

Batarokota historia yake kwa ufupi!



Nyimbo hapo juu ni ya kisukuma iliyopitwa na Mama Nyamoko akiwa na Msanii Batarokota.

Mwazirishi wa blogu hii ni Paskal Linda  Mgundu maharufu  Batarokota Pichani kushoto alizaliwa 1974 Kijiji cha Kigamboni katika Hospitali Teule ya Kigamboni Mkoa wa Temeke jijini Dar es salaam. 

Batarokota kabila ni Msukuma kutoka kijiji cha Nyashigwe kilomita 35 kutoka jijini Mwanza kaskazini mwa nchi ya Tanzania.
Batarokota ni mtoto wa kwanza katika familia ya Baba na Mama Beatus Linda iliyopo Nyamhongolo kijijini katika jiji la  Mwanza, yenye watoto saba (7)  kwa majina ni Happy Linda ambae ni marehemu aliyefariki tarehe 9/Mai/2007 maeneo ya Mbagala jijini Dar es salaam(rest in peace sister Happy Linda), Naomi linda, Zakaria Linda (dj zhari),Yohana linda (y brain), Monical linda na Norbert Linda.
Batarokota ana mke na watoto wanne na alifunga ndoa Jumamosi ya tarehe 5/Machi/2011 katika kanisa Katoriki la Mtakatifu Partic la mjini Morogoro,Batarokota alifunga ndoa na Sara Abed Linda.Na kabla ya ndoa alifanikiwa kupata watoto wawili na wawili baada ya kufunga ndoa.
Watoto wanne wa Batarokota wakwanza alizaa na mchumba wake wa kwanza Saula Athony Kapama ambae kwa sasa ni marehemu aliyefariki tarehe 9/Agosti/2005 Sumve Matare kwa ajali ya Treni ya abiria iliyokuwa ikienda Dar essalaam, Saula Kapama alimwachia Batarokota mtoto mmoja jina Ng`wibis Linda ambae alizaliwa Agosti 2000 katika Dispensary ya St Michael  mtoto wa pili wa Batarokota ni Shija Paskal ambae alizaliwa Desemba 2006 katika Hospital ya Bugando jijini Mwanza, Batarokota alizaa mtoto na rafiki wake wa kike Ruti Fidel Kanuti na Mtoto wa tatu wa Batarokota ni mtoto wa kike Makrina Juliana ambae alizawa Novemba/ 2011 mjini Morogoro katika Hospital ya Morogoro amezaa na mke wake Sarah Dile Linda na wanne ni Telezia wa Yesu aliye zaliwa Desemba,2013

. 
ELIMU
Batarokota amesoma shule ya msingi Igoma, nakumaliza shule 1990 na alifanikiwa kuendelea na masomo ya sekondari 1991 katika shule ya sekondari Buswelu na kufanikiwa kumaliza mwaka 1994, baada kidato cha tano na sita Mweli Sekondari  1997.

Na mwaka 2010 Batarokota akufanikiwa kujiunga na  chuo cha Powercomputer kilichopo jijini Mwanza- Tanzania na kuahitimu masomo kutengeneza computer, tovuti, blogu, grafics, Logo design, video editing and production baada ya kumaliza masomo ya computer Batarokota aliendelea na masomo ya Computer Nchini - Kenya katika chuo cha Moi na kumaliza masomo ya Diploma miaka 3, 2013.

Na picha chini Batarokota akiwa ofisini kwake anakofanyia shunguli za design na kutengeneza matangazo.

BATAROKOTA  AMEFANYA SHOW MAENEO MENGI

Mwaka Novemba/1994 Batarokota alifanya show ya kuwaanga kidato cha nne katika shule ya Buswelu Sekondari na Mgeni rasmi alikuwa Hayati Paulo Bomani.Mwaka.

 Julai/1996 Batarokota alialikwa katika show ya kusaka mrembo wa Kigamboni Miss Kigamboni katika ukumbi wa CCM kivukoni .Katika show alikuwa wamealikwa wasanii Fune with Sanse kiongozi wao J- Mtambo na kundi lake la POSOJU.

Mwaka Agosti/1998 ,Batarokota alikalibishwa na kundi lake la G tha Dunia katika ukumbi wa Liberty Hall jijini Mwanza, siku hiyo walikuwa wanazindua singo ya wimbo wao 'upendo kwa mama' wasanii walio alikwa ni Mr 2, Dr KB, BWV, Makamanda wa Gola, Daz P, na wengine wengi.

Mwaka, 2004 Batarokota akiwa na kungi la G THA Dunia alialikwa pamoja na wasaniii H- Baba, J- Mo, Mr Paulo, Solo Thang, Vick Kamata na BWV. katika kufanya show kubwa iliyo fanyika katika uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabora show hii iliandaliwa na Zizou Entertnment.

Mwaka2004 , 25,Desemba. Batarokota alialikwa yeye pamoja na msanii wa nyimbo za kiasili Mama Nyamoko (Suzana Nyamoko), kwenye show ya kuwaburudisha watu wa Geita siku ya kristimasi katika ukumbi wa Lake View Hotel .

Mwaka 2013,Machi, Batarokota amefanya show aliyo alikwa jijini Nairobi katika ukumbi wa Brokriny uliopo Gethorai 44 onyesho hili lilifadhiriwa na Princess Studio. 


MAISHA  
Kipaji cha Batarokota kilianza kuonekana toka akiwa shule ya msingi Igoma mwaka 1987, Akiwa shuleni alikuwa akicheaza ngoma za asilia kwenye kundi la shule na alikuwa akifundishwa na Mwalimu Matongo ambae nimarehemu na Mwalimu Mayuyu ambae kwa sasa ni mwana kwaya wa Mtakatifu Bakita katika kanisa la Romani Katoriki Igoma.

Wanafunzi ambao Batarokota anakumbuka walio kuwa wanacheza wote ngoma ni Tasi Kosinatantine, Paskal Makaka, Peter Makuke,Frimat Lyimo na wengine wengi.

Tarehe 9/Januari/1998, Batarokota alianziha kundi la mziki wa kurap jijini Mwanza kwa jina G THA Dunia, kundi hili G Tha Dunia lilikuwa ni moto wa kuotea mbali ambalo lilitikisha kanda ya Ziwa na lilikuwa likiundwa na Paskal linda a.k.a Batarokota, Juma Hassani a.k.a Big D na Danny Ngollo a.k.a Ngollo 2. Kundi hili lilifanikiwa kurekodi albamu nchini Kenya ambayo ilikuwa ikiitwa '' ONE DAY'' ambayo ilirekodiwa Agosti/1998 mjini Nairobi, Kenya katika studio ya SYNC SOUND STUDIO chini ya Producer Mahamud Omari a.k.a Mr M O .Album hii ya ''One Day'' ilikuwa imajazwa na nyimbo kumi ambazo ni 'one day' jina la albam, 'upendo kwa mama', 'kiama','ogopa 666' , 'nimzuri tu', 'baby shake', 'wenyewe kwa wenyewe', 'watoto kwanza' , 'total balaa' na 'majonzi'. 

Baada ya kukaa nalo kundi hilo Batarokota aliondoka na kuachana na kundi hili 2004 na kwenda Dermank kwa ajili ya kufundisha ngoma Wadenish.Tarehe15/,februari/2006 Batarokota alirejea kutoka Dermank na kuanzihsa kundi jipya liitwalo Watu wa Gola liliko jijini Mwanza, alianzisha kundi hili akiwa na Juma Hassani a.k.a Big D, Kundi hili Watu wa Gola walifanikiwa kurekodi nyimbo mbili 'Tumerudi' na 'vichwa vya kale' nyimbo hizi zimerekodiwa katika studio ya M.O. Record iliyopo Pasiasi jijini Mwanza chini ya mtayarishaji Q the Don na Dj Zari. 


TUZO  KATIKA SANAA
 Mwaka 2001 tarehe 4/Machi msanii Batarokota akiwa na kundi lake la G THA Dunia,Kundi hili walifanikiwa kupata zawadi ya cheti cha ushindi wa best single rap katika wimbo wa -upendo kwa mama- cheti hicho kilitolewa na Gloryhood Music Award ya jijini Mwanza .

Mwaka 2004,Octoba 22-23, Batarokota alifanikiwakupta cheti cha kuudhulia na kushiriki Music Crossroads Tanzania Workshops jijini Mwanza.

Mwaka 2014 msanii Batarokota alifanikiwa kuingia kwenye tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Award 2014 (KTMA 2014) kama nominiss katika kategori ya Wimbo bora wenye Vionjo vya Asili ya Kitanzania na wimbo wa kisukuma uitwao `Kwejaga Nyangisha` 


NYIMBO MPYA AKIWA NJE YA KUNDI 
 Batarokota kwa sasa ana nyimbo saba ambazo amesha kamilliza kwa ajili ya maandalizi ya albamu yake mpya atakayo zindua hivi karibuni yenye nyimbo  sita ambazo ziko tiyari ni 

` hongera mama` na  `amani` nyimbo hizi zimerekodiwa Mwaka 2003 Januari katika studio Mushroom Studio jijini Nairobi Kenya chini ya mtayarishaji Teddy Karanda Harrison na Dj Zari.

Nyimbo vingine ni `Sukurubu` ambayo imerekodiwa Multimedia Studio jijini Mwanza mtayarishaji Alon Mikomangwa wasanii walioshiriki kwenye nyimbo hii ni Ceni na Castro kutoka DRC, Kongo na nyimbo nyingineni `sauti ya haki` na `kwejaga Nyangisha` zimerekodiwa Januari,2012 studio ya Sky Studio iliyopo Kihonda Morogoro watayarishaji Orecy Owden na Julius Chares.

Nyimbo nyingine ni ya kisukuma ihitwayo `irombo rise`iliyo rekodiwa 6/Decemba/2012 katika studio za Sunlight Records Mazimbu road -Kihonda Morogoro mtayarishaji King Maroh.

KUINGIA KATIKA SIASA 
Msanii Batarokota ameingia rasimi katika siasa tarehe
18/08/2015 katika chama cha ATC-Wazalendo na kupata kadi namba 223643 alikabidhiwa kadi na Afisa wa Chama mkoani Morogoro Mjini-Tanzania

China na Marekani zaafiki vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini



Leo Rais wa Marekani Barack Obama ameidhinisha vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini baada ya taifa hilo kufanyia majaribio silaha za nyuklia na makombora hivi majuzi.
Msemaji wa ikulu ya White House amesema Marekani na jamii ya kimataifa hawatavumilia “shughuli haramu za nyuklia” zinazotekelezwa na Korea Kaskazini.
Awali, ikulu ya White House iliishutumu Korea Kaskazini ikisema inawatumia raia wa Marekani kama rahani katika juhudi za kuendeleza ajenda yake ya kisiasa.

Bw Otto Warmbier, mwenye umri wa miaka 21, alikiri kuiba bango la kisiasa katika hoteli alimokuwa akikaa pamoja na kundi jingine la watalii mjini Pyongyang.
Marekani imeitaka Korea Kaskazini kumwachilia huru mwanafunzi huyo mara moja.

Pope Francis' prayer intentions for March 2016

Jesus triumphant entry into Jerusalem [Palm Sunday]


By Adelaide Mena (CNA/EWTN News)
3/16/2016 (15 hours ago)
Catholic Online (www.catholic.org)
The feast commemorates Jesus' triumphant entry into Jerusalem the week before his passion.
With Palm Sunday right around the corner, Catholics across the globe will soon be handed leaves as they walk into church. Some might fold them into elaborate little crosses. Kids will poke each other with them. But it's safe to say most won't know where they came from. 
Washington D.C., (CNA/EWTN News) - The feast commemorates Jesus' triumphant entry into Jerusalem the week before his passion and crucifixion. The Gospels attest that as Jesus entered the city, crowds lay down palm branches and cloaks as he rode into Jerusalem on a donkey.

For centuries, Christians have commemorated the feast day that begins Holy Week by waving branches of either palm or another local tree, as well as with liturgical processions and other celebrations.

In the U.S. alone, nearly 18,000 Catholic parishes will celebrate Palm Sunday by blessing and distributing palm branches to the faithful. That makes millions of palm leaves each year - and that doesn't include all of the Protestant churches that observe the tradition.

Where do all those palms come from? While many Catholics know the final destination of their palms - they are burned to become ashes for next year's Ash Wednesday - the origin of the leafy branches is less well known.

The journey from tree to church begins with the harvesters around the world who cut and prepare the leaves for their role in worship. The work needed to provide palms for Palm Sunday is so immense that it actually constitutes a full-time year-round job for some harvesters.

Thomas Sowell is one such palm harvester from Florida who has been helping to supply parishes with fresh palm leaves for more than five decades. Sowell began harvesting wild palm leaves from trees as a child to earn extra money in the springtime. Over the past several decades, he has grown his business into a palm supplier that ships the leafy branches to all 50 states and Canada.

Despite the growth in his business, Sowell says he tries to maintain his focus on the purpose behind it all.

"We try to do the best job that we can," he told CNA. "Every bag that we send out to churches, every individual bag has been examined, cleaned - we go to extreme measures to make sure that everything we do for these churches is done in the honor of Jesus Christ."

While there are more than 2,600 different species of palm that grow across the world, palm plants cannot survive outside of tropical and subtropical climates. Historically, parishes that could not source palm locally would instead substitute branches of another local tree such as olive or willow, although modern churches also have the option of sourcing palm fronds from other regions of the world.

In the United States and Canada, most parishes seek out suppliers who deliver fresh palms shortly before Palm Sunday, said Fr. Michael J. Flynn, Secretariat of Divine Worship for the U.S. Conference of Catholic Bishops.

Many of these parishes contact church goods suppliers such as Peter Munley of Falls Church, Virginia, who helps provide parishes year-round with supplies like candles and sacramental wine, along with palms for Holy Week.

Munley told CNA that in preparation for Palm Sunday, he works to deliver palms from their source to different parishes that place orders around the country. In addition to Florida, palms are sourced from Texas, California and elsewhere in the Southern United States, he said.

While nearly all of the palms Munley sells are individually pre-cut, church goods suppliers also helps to source decorative palms for altar centerpieces and larger palm fronds as well. Dealers also work to ensure that palms get burnt and ground into ashes for Ash Wednesday, for parishes that cannot burn the palms for ashes themselves.

Daily Reading for Thursday, March 17th, 2016 HD




Reading 1, Genesis 17:3-9
3 And Abram bowed to the ground. God spoke to him as follows,
4 'For my part, this is my covenant with you: you will become the father of many nations.
5 And you are no longer to be called Abram; your name is to be Abraham, for I am making you father of many nations.
6 I shall make you exceedingly fertile. I shall make you into nations, and your issue will be kings.
7 And I shall maintain my covenant between myself and you, and your descendants after you, generation after generation, as a covenant in perpetuity, to be your God and the God of your descendants after you.
8 And to you and to your descendants after you, I shall give the country where you are now immigrants, the entire land of Canaan, to own in perpetuity. And I shall be their God.'
9 God further said to Abraham, 'You for your part must keep my covenant, you and your descendants after you, generation after generation.

Responsorial Psalm, Psalms 105:4-5, 6-7, 8-9

4 Seek Yahweh and his strength, tirelessly seek his presence!
5 Remember the marvels he has done, his wonders, the judgements he has spoken.
6 Stock of Abraham, his servant, children of Jacob whom he chose!
7 He is Yahweh our God, his judgements touch the whole world.
8 He remembers his covenant for ever, the promise he laid down for a thousand generations,
9 which he concluded with Abraham, the oath he swore to Isaac.

Gospel, John 8:51-59

51 In all truth I tell you, whoever keeps my word will never see death.
52 The Jews said, 'Now we know that you are possessed. Abraham is dead, and the prophets are dead, and yet you say, "Whoever keeps my word will never know the taste of death."
53 Are you greater than our father Abraham, who is dead? The prophets are dead too. Who are you claiming to be?'
54 Jesus answered: If I were to seek my own glory my glory would be worth nothing; in fact, my glory is conferred by the Father, by the one of whom you say, 'He is our God,'
55 although you do not know him. But I know him, and if I were to say, 'I do not know him,' I should be a liar, as you yourselves are. But I do know him, and I keep his word.
56 Your father Abraham rejoiced to think that he would see my Day; he saw it and was glad.
57 The Jews then said, 'You are not fifty yet, and you have seen Abraham!'
58 Jesus replied: In all truth I tell you, before Abraham ever was, I am.
59 At this they picked up stones to throw at him; but Jesus hid himself and left the Temple.

Ziara Ya Rais Magufuli Arusha