Week Hot newz

Papa ahimiza, tujikabidhi katika Mkono wa Mungu aliyetuumba

Sote ni lazima tutaipita njia ya kifo. Na ni muhimu kutambua kwamba, katika maisha haya kuna njia mbili, moja ni njia inayongoonzwa na shetani na njia nyingine ni ile inayo elekea kwa Mungu. Baba Mtakatifu Francisko ameeleza katika homilia yake, wakati wa Ibada ya misa mapema Asubuhi, Jumanne hii katika kanisa dogo la Mtakatifu Marta la hapa Vatican