
Sunderland imesonga mbele hatua ya nusu fainali ya michuano ya ya Kombe la Capital One baada ya kuichapa Chelsea mabao 2-1.
Chelsea ilimiliki mchezo huo kwa muda mrefu
katika dakika zote 90, huku Chelsea ikipata goli kutokana na mchezaji wa
Sunderland, Lee Cattermole kujifunga mwenyewe.