Week Hot newz

البابا فرنسيس يقدم عبر المجلس البابوي "قلب واحد" مساعدة أولية لضحايا الإعصار في الفيليبين




صدر بيان عن المجلس البابوي قلب واحد (كور أونوم) جاء فيه أنه وعلى أثر إعصار "هايان" الذي ضرب الفيليبين نهاية الأسبوع الفائت مسببا مقتل أكثر من عشرة آلاف شخص، قرر قداسة البابا فرنسيس ـ من خلال المجلس الحبري "قلب واحد" ـ إرسال مساعدة أولية بقيمة مائة وخمسين ألف دولار لإغاثة السكان. وأشار البيان إلى أن هذا المبلغ المالي الذي سيتم توزيعه من خلال الكنيسة المحلية على المناطق الأشد تضررا من الكارثة الطبيعية، سيُستخدم من أجل دعم أعمال إغاثة النازحين والمتضررين من الفيضانات كما ويشكل علامة ملموسة عن قرب الحبر الأعظم الروحي من كل الأشخاص والمناطق المتضررة من الفيضانات.
إلى ذلك عبّر رئيس أساقفة مانيلا عاصمة الفيليبين الكاردينال لويس أنطونيو تاغل عن تضامنه مع الأمة كلها شاكرا المؤمنين في الرعايا على مساعدتهم السخية. وفي السياق نفسه، قدم مجلس أساقفة إيطاليا الكاثوليك مساعدة مالية بقيمة ثلاثة ملايين يورو تضامنا مع ضحايا الإعصار. هذا وتجدر الإشارة إلى أن البابا فرنسيس ـ وبعد صلاة التبشير الملائكي أمس الأحد ـ قد عبر عن قربه من شعب الفيليبين والمنطقة بأسرها على أثر الإعصار الذي ضربها، وحث الجميع على رفع الصلاة وتقديم المساعدة الملموسة.

St. Frances Xavier Cabrini

St. Frances Xavier Cabrini November 13
Patron of immigrants
Died: 1917

St. Frances Xavier Cabrini, Virgin (Feast day November 13) St. Frances was born in Lombardi, Italy in 1850, one of thirteen children. At eighteen, she desired to become a Nun, but poor health stood in her way. She helped her parents until their death, and then worked on a farm with her brothers and sisters.
One day a priest asked her to teach in a girls' school and she stayed for six years. At the request of her Bishop, she founded the Missionary Sisters of the Sacred Heart to care for poor children in schools and hospitals. Then at the urging of Pope Leo XIII she came to the United States with six nuns in 1889 to work among the Italian immigrants.

Daily Reading for Wednesday, November 13th, 2013

Reading 1, Wisdom 6:2-11

2 hear this, you who govern great populations, taking pride in your hosts of subject nations!
3 For sovereignty is given to you by the Lord and power by the Most High, who will himself probe your acts and scrutinise your intentions.
4 If therefore, as servants of his kingdom, you have not ruled justly nor observed the law, nor followed the will of God,
5 he will fall on you swiftly and terribly. On the highly placed a ruthless judgement falls;
6 the lowly are pardoned, out of pity, but the mighty will be mightily tormented.

Kanisa, Majimbo, Parokia,jumuia na watu binafsi waanza kuchangia wananchi wa Ufilippini


BABA  Mtakatifu Francisko amepokea kwa masikitiko na majonzi makuu taarifa za mahangaiko ya wananchi wengi wa Ufilippini kutokana na kukumbwa na tufani ambayo imesababisha maafa makubwa kwa watu na mali zao.
Baba Mtakatifu katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii, anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema kuchangia kwa hali na mali juhudi za kuokoa maisha ya mamillioni ya watu waliofikwa na janga hili kutokana na kukumbwa na tufani cha Haiyan kilichotokea nchini Ufilippini, hivi karibuni. Kutokana na mwaliko huu wa Baba Mtakatifu, Mashirika ya Misaada ya Kanisa Katoliki, Majimbo, Parokia na watu binafsi kutoka sehemu mbali mbali za dunia wameanza kuchangia juhudi za kuokoa maisha ya watu walioathirika na tufani.

Maungamo ni ubatizo wa pili katika utakaso wa dhambi

JANA Jumatano , Papa Francisko amewataka waumini wote kujenga tabia ya kuugama dhambi kwa unyenyekevu na kuomba msamaha kwa Mungu , kila mara wanapotenda dhambi, ili kupata neema za utulivu wa moyo na furaha.
Wito huu ni sehemu ya ujumbe wa Papa kwa waumini, ambao ameutoa kupitia Katekesi yake ya Jumatano, kwa mahujaji na wageni , waliokusanyika katika uwanja wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro. Alisema kama ilivyo katika ubatizo ambamo dhambi ya asili na dhambi zingine hutakatifushwa,

Papa achangia dolla 150, 000 kwa wahanga wa maafa nchini Ufilippini

Baba Mtakatifu Francisko kwa kuguswa na mahangaiko pamoja na mateso ya wananchi wa Ufilippini waliokumbwa na maafa ya kimbunga cha Hayain hasa katika visiwa vya Leyte na Samar na kusababisha zaidi ya watu elfu kumi kupoteza maisha, ametoa kiasi cha dola za Kimarekani, 150, 000, kama awamu ya kwanza ya mchango wake kwa waathirika wa maafa haya.

Mchango huu umetolewa na Baraza la Kipapa linaloratibu misaada ya Kanisa Katoliki Cor Unum. Fedha hizi zitatolewa kwa Kanisa mahalia, ili kusaidia watu walioathirika kwa mafuriko. Hiki ni kielelezo cha imani tendaji, kama njia ya kuonesha uwepo wake wa karibu kwa watu wananchi waliokumbwa na maafa.