Baba Mtakatifu Francisko kwa kuguswa na mahangaiko ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, anawaalika watumiaji wa mitandao ya kijamii, kumuunga mkono katika kusali kwa ajili ya kuombea amani na utulivu huko Jamhuri ya Watu wa Afrika ya Kati na Sudan ya Kusini.
Week Hot newz
Ombeeni amani Barani Afrika!
Baba Mtakatifu Francisko kwa kuguswa na mahangaiko ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, anawaalika watumiaji wa mitandao ya kijamii, kumuunga mkono katika kusali kwa ajili ya kuombea amani na utulivu huko Jamhuri ya Watu wa Afrika ya Kati na Sudan ya Kusini.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni