Katika mazungumzo ya viongozi hawa wawili, wamejikita katika hali ya uchumi na kisiasa pamoja na kuangalia mchango wa Kanisa Katoliki katika mchakato wa maendeleo na ustawi wa wananchi wa Samoa katika medani mbali mbali za maisha. Wamebadilishana mawazo kuhusu masuala ya kimataifa hasa umuhimu wa ushirikiano wa Kikanda, utunzaji bora wa mazingira katika nchi zilizoko kwenye Bahari ya Pacific.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni